[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji30][emoji30][emoji30][emoji124]
Tafadhali sana, haya ni mambo ya kifamilia, hatuhitaji tahadhari wala hatari.simpotoshi ila namwambia ukweli mambo ya kutanguliza vitu haya sio mazuri kabisa mwisho itakua aibu yake
Haujambo mpenzi? Siku hizi sijui nani anakuficha maana nimekumisimo[emoji8] [emoji8]Kamama ka mjini hako...[emoji126]
Hahahahaha... Hatafanya hivyo[emoji6][emoji6][emoji6][emoji6]..Kaboom kanavisirani nahisi hadi kulike vipost vyangu kataacha [emoji119][emoji119]
hahahhah unaniona mchawiTafadhali sana, haya ni mambo ya kifamilia, hatuhitaji tahadhari wala hatari.
Yaani sijui nani kakutuma!! Ole wako hivyo vitu tusivipate, natangaza vita na wewe!hahahhah unaniona mchawi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaani sijui nani kakutuma!! Ole wako hivyo vitu tusivipate, natangaza vita na wewe!
Hata mie nimekumisimo sema maisha magumu mdogo wangu hadi yananificha...Haujambo mpenzi? Siku hizi sijui nani anakuficha maana nimekumisimo[emoji8] [emoji8]
Mvumilieni tu kwa muda hii crisis ikiisha hatowazibia tena.Anatuzibia riziki.
Navyopenda surprise sasa...[emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji7] [emoji7]Basi nimeshaanza mawindo mpendwa. Jiandae kwa suprise yoyte from now.
Kama hii [emoji7]duuh kumbe sio pm huku.
We cheka tu, ila ni bora uanze kumshawishi avitangulize mapema iwezekanavyo.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yanakuwaje magumu jamani!! Rogie hatekelezi majukumu yake??Hata mie nimekumisimo sema maisha magumu mdogo wangu hadi yananificha...
Mie ni kama muwa nazeeka na utamu wangu.Utakuwa hauna mautamu tena wewe...