Hahahhah ngoja aje mwenyweWe cheka tu, ila ni bora uanze kumshawishi avitangulize mapema iwezekanavyo.
Hahahahhaa[emoji124] [emoji124][emoji85] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134]
[emoji24] [emoji24] [emoji24]
Usimfanyie hivyo kaka yangu.
mambo unayoyapenda hayo
mapenzi sio pesa au vitu kama unamtaka mtu usitangulize vitu
shunie mm au kuna mwingine
Unanicheeeeeka eeehhahhaah
Sio mikato yangu hiyo......[emoji12] [emoji124]
Teh teh..Haya bana[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Sio lazima tu... tunaweza kwenda home na tuchill tu[emoji12] [emoji12]
Kwahiyo sensa haitoharibika.
Halafu hiyo avatar yako imenijia Leo ndotoni..Si nilishakukubali lakini au kuna mwengine?
Duuh..Ushabadili gia angani..Hahahaahaa.. Bora basi tuwindane na wew. Kaboom naona kama anacheza ana ana doo atakaemkubali ndo huyo huyo.
Acha tuwindane na wewe
Nimekuachia kiroho safi kijana..Ila ntakua napasha moto Mara moja moja[emoji6][emoji6][emoji6][emoji6]..Kaboom kanavisirani nahisi hadi kulike vipost vyangu kataacha [emoji119][emoji119]
Siwezi kupata crisis unless we utoweke duniani..Mvumilieni tu kwa muda hii crisis ikiisha hatowazibia tena.
Mbona tumebaki tunaokubali ngonjeraHyo ilikua zaman sa hv uende na ngonjera zako walah unarud kama ulivyoenda
mfyuuuKama huyapend umesoma ya nn?
KwendraaaaKama unahis alietajwa hapa mwengne ungepita kimya kimya
Sio umeniota na mimi?Halafu hiyo avatar yako imenijia Leo ndotoni..