The truth about u women


nakushauri ucshawishike kupima hayo ma dna.
 

upo very wrong, mie alienitoka bikra hata nikilala nae miaka mitano kitanda kimoja hawezi kunimega kabisa, yaani namegwa na mtu ninaempenda tu
 

Kweli Mungu akuepushie mbali...
 
nakushauri ucshawishike kupima hayo ma dna.
Hahahaha! sure sissie!!

upo very wrong, mie alienitoka bikra hata nikilala nae miaka mitano kitanda kimoja hawezi kunimega kabisa, yaani namegwa na mtu ninaempenda tu
Nashukuru kukufahamu. Kumbe wewe ni she? Tena umeolewa na mwanaume ambaye hakukubikiri! Utafiti unaendelea....
 
upo very wrong, mie alienitoka bikra hata nikilala nae miaka mitano kitanda kimoja hawezi kunimega kabisa, yaani namegwa na mtu ninaempenda tu

Hujamwelewa Chriss yeye anazungumzia uzoefu! Huenda ameisha bikiri kama kinadada hamsini hivi......anweza kuja thibitisha hilo.
 
Naomba kukuuliza swali BAK, kwa mfano mtoto amezaliwa hamjafanana... tuseme umemlea akafikisha miaka mitatu ukampeleka huko kwenye Ma-DNA yenu, utamuacha mkeo? Je usipogundua akakwambia ukweli mtoto amefikisha umri wa kuoa/kuolewa... utafanyaje??

Hakuna ndoa hapo Mkuu! Ni wanaume wachache sana wenye moyo kama huo wa kuendelea kwenye ndoa baada ya kugundua mtoto si wake. Mtoto naweza kabisa kuendelea kumtunza lakini ukweli hautafichika kwamba huyo mtoto si wangu. Na kama mwenye mtoto wake aliambiwa kwamba yeye ndiye baba na akaanza kumdai mwanae basi hata matunzo ya huyo mtoto hayanihusu tena.
 
WoS nawe kwa ku-extrapolate kiboko.
 
upo very wrong, mie alienitoa bikra hata nikilala nae miaka mitano kitanda kimoja hawezi kunimega kabisa, yaani namegwa na mtu ninaempenda tu
Kwa hiyo kama ukinipenda kitaeleweka? Hebu niPM fasta tuongee. Ila ukweli uko pale pale aliyekubikiri huwezi msahau, na akihitaji tunda lazima umlishe. Period!

Hujamwelewa Chriss yeye anazungumzia uzoefu! Huenda ameisha bikiri kama kinadada hamsini hivi......anweza kuja thibitisha hilo.
:dance::dance::dance::smiling::smiling::smiling::whistle::whistle::whistle:
 
Kwa hiyo kama ukinipenda kitaeleweka? Hebu niPM fasta tuongee. Ila ukweli uko pale pale aliyekubikiri huwezi msahau, na akihitaji tunda lazima umlishe. Period!


:dance::dance::dance::smiling::smiling::smiling::whistle::whistle::whistle:
Thats not true.Vipi kama ulibakwa na ukatolewa ubikira?au aliyekutoa ubikira kaamua kuwa padre? Au humpendi tena?Kama aliyekutoa ubikira ni mumeo basi hapo tu ndio access will always be granted!
 
Thats not true.Vipi kama ulibakwa na ukatolewa ubikira?au aliyekutoa ubikira kaamua kuwa padre? Au humpendi tena?Kama aliyekutoa ubikira ni mumeo basi hapo tu ndio access will always be granted!
Ahaaa! Basi ngoja niweke wazi. Aliyekubikiri kwa hiari yako, hata asipokuoa huwezi kumsahau. Na mtakapokutana akitaka mzigo LAZIMA utampa. Hiyo imekaaje hapo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…