The truth about vaccines is very different from what we are made to believe.

Unafahamu kazi za Antony Fauci? Au unasimuliwa? How do you know this guy? Eithwr kwa kumsoma au hata kama ni ndugu yako..
Wewe ni mfuasi wa wale akina Kibwetele?
Namfahamu Fauci inside out.Kama hujui ni Jesuit.Sasa what do you expect from a Jesuit,kama sio Eugenics.Kama hujui the so called C-19 vaccine is a Eugenics tool.
 
Namfahamu Fauci inside out.Kama hujui ni Jesuit.Sasa what do you expect from a Jesuit,kama sio Eugenics.Kama hujui the so called C-19 vaccine is a Eugenics tool.
Me namfahamu ila siyo nje ndani.. Namfahamu kama physician-immunologist. Namfahamu kupitia kazi zake kwenye Harrison's medical books kabla ya nafasi zake za kiutawala anazohodhi.

Unaweza nipa mifano ya kazi zake kama Jesuit na the so called eugenics? Ili nipate kufunguliwa niliyofungwa?
 
Yaani unampongeza kwa kukopi na kupasta hapa article kutoka kwenye magazeti ya Europe? Aiseee.
 

Wajinga wanawatia watu hofu ili iwe rahisi kukubali sumu. Mimi kwa kweli japo naishi Ulaya, sijawahi kununua barakoa, sanitizer na sijawahi kupima corona toka janga lianze.

Sijawahi kujifungia ndani eti kisa Korona, kazini naenda na shughuli zangu zingine zinaenda kama kawaida. Wiki ijayo kwa mara ya kwanza naenda kupima corona kwasababu nasafiri nje ya nchi. Otherwise sikuwahi kuhisi dalili na sikuwahi kupima kwasababu ni uduwanzi.

Huku Ulaya wamechoma mpaka watoto wa miaka 12 hata siwaelewi kabisa.
 
Too much CONSPIRACY THEORIES in here ....
 
👍😍
 
Yaani unampongeza kwa kukopi na kupasta hapa article kutoka kwenye magazeti ya Europe? Aiseee.
Mkuu, ile mtu kutumia muda wake mwingi katka kutafuta taarifa kutoka vyanzo tofauti vya habari, ikiwa ni jitihada binafsi ya kutaka kifichua na kuuanika uhalifu wa kimataifa si jambo rahisi hata kidogo.

Ni watu wangapi humu jukwaani wamedhubutu kufanya hivyo? Hata kama anafanya C&P kutoka katika "articles" mbalimbali, lakini tambua anafanya hivyo kwa lengo la kutaka kutoharibu uhalisia wa taarifa ya msingi, yaani "distortion of original message's content and context'.
 
Na iendelee kuwa ni HIYARI.
 
Hakuna muda mwingi wowote alioutumia hata wewe dakika hii uki Google COVID-19 vaccines alter DNA zitakuja maelfu ya articles za consiparicies.
 
Jibu swali wewe paranoid, hao matajiri waduni wakikupunguza wewe mla miguu ya kuku na sembe uliyepo buza kwa mpalange au mjomba wako aliyeko tandale kwa mfuga mbwa watafaidika nini?
Ni kitu gani ambacho nyie mnawauzia kukipata kwa sasa?
Swali lako linaonyesha how stupid and uninformed you are.Nenda katafute taarifa, zipo, do not scavenge, Kumbe unabishia na kutetea usiyoyajua.
 
Hata Babu wa Loliondo interest yake ilikuwa ku save human life.
Una save human life na ka tecno chako unacho Google nacho pumba? smh
 
Hakuna muda mwingi wowote alioutumia hata wewe dakika hii uki Google COVID-19 vaccines alter DNA zitakuja maelfu ya articles za consiparicies.
Mkuu Yoda, wakati mwingine ni vyema watu wakakubaliana kutofautiana kwa ajili ya kukubaliana na hoja kinzani. Ndiyo! "Critisms" zipo lakini ni vyema zikajengwa kupitia kanusho lenye "specific facts" tena kutoka katika "trusted sources" pia.

Kufanya "personal attack" kwa mtoa mada, ama kumpinga kupitia "general statements" hazitusaidii kitu. Ni vyema mjenga "criticism" akaja pia na kanusho kupitia vyanzo vingine kama pia vipo katika "Google links" mbalimbali, vile kama ambavyo umegusia.
 
Ukikutana na flat earthers ndio utafahamu kuna watu huwezi kubishana nao kupitia facts, wengine ni wanaoamini binadamu hakufika mwezini, Neil Amstrong na wenzake ilikuwa igizo tu, wengine ni wanaoamini 9/11 ilitengenezwa na CIA na sio Osoma, Wengine ni wanaomini benki kuu zote duniani zinamilikiwa na Rothschild, Wengine ni wanaoamini chanjo ya Corona ni 666, hizi na nyingine zote ni upuuzi mtupu. Ukijikita sana kwenye conspiracies akili yako inapoteza uwezo wa kudadavua facts na utopolo mwingine unakuwa huna tofauti na Zombie.

Hakuna vyanzo vya kuamanika kuhusu suala la Afya zaidi ya vyanzo rasmi kama Muhimbili, WHO, TFDA, NIH, NIAID, FDA, NHS, Mayo n.k Vyanzo vingine vyovyote kinzani ni upuuzi mtupu.
 
Hii ilikuwa posta ya propoganda ya wapinga umeme miaka ya 1900 huko US.
 
Upimaji is not safe either mkuu.Deal ya mjanja ni kuachana na anything to do with C-19 protocols.See this👇.The C-19 Eugenics programme is conspiratory at every point.

 
Hata Babu wa Loliondo interest yake ilikuwa ku save human life.
Una save human life na ka tecno chako unacho Google nacho pumba? smh
Mjanja anaona wazi ujinga wako.Asioyeona kwamba C-19 shots ni janga la dunia ni idiot kama wewe.This is a Satanic initiation exercise into the Luciferian NWO.
 
Too much CONSPIRACY THEORIES in here ....
So you believe!The concept of conspiracies was coined by the CIA to water down truth exposure of the evil they are doing against humanity.Ni ajabu kwamba umekubali kuwa upande wa genge la watesi wetu.Wake up.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…