......................nilipo kuwa form one mwaka 2011 nilifundishwa mambo meng kuhusu ulimwengu pamoja na asili ya mwanadamu kupitia somo la historia na jeografia..........evolution of man ni nadharia ambayo ilitolewa na Charles Robert Darwin( english man) ni mwana sayansi mkongwe wa kipindi hicho karne ya kumi na tisa (19century) ambaye alijikita zaidi kufanya utafiti kuhusu asili ya mwanadamu pamoja na mimea.....ndani ya miaka mitano ya utafiti ambayo ilifanywa na Charles uko america kwenda kuchunguza wanyama na mimea (flora and fauna) ...tayari Darwin akawa ameandika na kitabu kinacho elezea asili ya mwanadamu........Darwin akadai asili ya mwanadamu ni jamii ya mnyama sokwe........je uwepo wetu sisi apa duniani tumekuja kwa bahati mbaya je na uyo nyani alitoka wapi...? Aya maswali nitajibiwa na watu wenye mawazo ya Darwin...............kila kitu kilicho ndani ya mwili wetu kipo ktk mpangilio hakuna siku ambayo utakuja kuvutia pumzi au hewa kupitia sikio,........kuna mambo mengi yakujifunza ebu twende mbali kidogo mfumo wetu wa jua kuna sayari kama nane tunawashukulu NASA kwa utafiti wao, tupo ktk galaxy inayo itwa milky way, kuna mamilion ya nyota kama mchanga wa bahari ..........kuna kitu kinaitwa JUA Mimi na wewe atujui ni lini liliundwa na lina umri kiasi gani, na kila siku tunaliona likipita kutoka magaribi kwenda mashariki according to NASA........ukienda ktk biblia ktk ktabu cha mwanzo Mungu ndiye muumba wa ulimwengu pmj na hili jua tunalo liona ....je sayansi inasemaje kuhusu kuundwa kwa jua? Nao wanamajibu yao.................lakini ktk mfumo wa jua kuna sayari kama vile mercury, venus,dunia,mars,Jupiter, nk kila sayari inamwendo wake ambao haubadiliki milele na milele, hakuna siku ambayo dunia yetu itaenda kuwa kalbu na Jupiter au Jupiter kwenda kuwa sayari ya kwanza afu mercury kuwa sayari ya tano.......... Dunia yetu ipo inaelea sio kwa sababu ya gravitation force kama tulivyo fundishwa ktk physics na geography.........je nayo iyo gravitation force ilikuja kwa bahati mbaya kama alivyotokea mwanadamu ....? Je dunia ilitoka wapi ? Kuna nadharia kibao zinazo elezea chanzo cha ulimwengu (dunia) lakini zote hazina majibu yaliyo jitosheleza zaidi ya kuwa na challenges chungu nzima .....je mpangilio wa sayari tunaojua nao ulikuja kwa bahati mbaya ? Dunia yetu ni sayari pekee yenye uhai ktk mfumo wa jua..............kuna zaidi ya galaxy billio 100 pmj na nyota kbao lakin ni galaxy chache tu zilizo gunduliwa na baadhi kupewa majina kama vile spinit.... Ambapo kuna baadhi ya galaxy kuzifikia ita kuchukua miaka kbao kufika.............na kunasayali kibao zilizo nje ya mfumo wa jua letu na zenye kuvutia kwa rangi nzuri kuliko ata dunia yetu lakini hakuna ata kiumbe ata mmoja.............................tusiende mbali kuna sayari ya Jupiter ni kubwa kuliko sayari yeyote ktk galaxy yetu(milky way) , pia kuna miezi kbao inayo izunguka Jupiter km vile Callisto, lo,europa pmj na Ganymede .......je aliyeiumba Jupiter ni tofauti na aliyeiumba dunia? Dunia yetu ni kama kapunje ka mchanga kaliko ufukwen mwa bahari ya hindi... Lakini wanaoishi ndani ya dunia wamejisahau ....MUNGU bado anataka kutuonesha kuwa yupo pia ndiye aliyeiumba dunia, jua,venus,pluto, Jupiter, mars, na vitu vingine vilivyo fichwa ........ndiye anayeifanya venus ionekane sayari inayo ng'aa kulko sayari yeyote ile lakini bado MUNGU kaipendelea dunia kaipatia maji ya kutosha,oxygen,milima,misitu ili mladi tusipate shida lakin bado tuna tamani kwenda sayari ya mars uku tukiwa tumebeba maji na oxygen kwenye makopo..........si makosa kujifunza kuhusu mambo ya kiulimwngu kuhusu mwili wa mwanadamu na asili ya ulimwengu ila tukumbuke kuwa kuna muumba wa hivi vyote maana yeye ndiye mwanzilishi wa hii elimu .....tusiwe wafuasi wa Darwinism theory pasipo kujua hatima ya maisha yetu... je tukifa tunaenda wapi ? Hilo ni swali ambalo hakuna ajuaye Ila amini kuwa haya mambo yote yanayotokea ulimwenguni hayakuja kwa bahati mbaya au kwa bahati nasibu kama alivyo elezea dokta Darwin kuhusu asiri ya mwanadamu....................nmemtumia Darwin kama spaceman ila nadharia za Darwin bado zina enziwa na wasomi mgando ambao bado elimu haija wakomboa.........ebu jalibu siku moja ukae peke yako sehemu iliyo tulia anza kujifikilia ww kuhusu atma yako after death, anza kufikilia namna dunia jinsi ilivyo usiku na mchana,maji ya bahari, mtoni,ziwani,milima, majangwa,mimea, kisha peleka mawazo yako ktk mwili wako ulivyo undwa ,macho,moyo,ubongo,tumbo linavyo fanya digestion ya chakula kila sku.....hadi sasa unaweza kusoma hii text lakin bado unadai wew ulikuja kwa bahati mbaya unamuunga mkono Charles darwin........ulimwengu unavitu vingi sana kuliko hata unavyo vifahamu lakini Mungu kaichagua dunia kuwa mahali pekee kwa ajili ya kuishi mim na wewe ............................unaruhusiwa kuto povu lolote lile ata la unga