TUPACified
JF-Expert Member
- Feb 27, 2015
- 1,367
- 604
- Thread starter
-
- #21
Tunakuzia wengine, kina Mata, Parejo, Borja Valero, Morata, Juanfran, Negredo, Javi Garcia, Rodrigo Moreno unadhani walitoka wapi?Aaaaah, Madrid tena kwa mitamaa yenu, kukuza vya kwenu hamuwezi.
Watu wa mpira dogo wanamjua kitambo, prem-faces ndio huwa hawawajui wanaotoka nje ya ligi yao mpaka wawafundishe mpira. Ukiwauliza wengi, watakuambia hata Pirlo walimjua kwenye Euro '12.Marco verrati hawakumjua mpaka alivyowaadabisha chelsea ila leo nipo kinyume
Messi mcharo tena
Tunakuzia wengine, kina Mata, Parejo, Borja Valero, Morata, Juanfran, Negredo, Javi Garcia, Rodrigo Moreno unadhani walitoka wapi?
Hao uliowataja mbona magarasa?
SMDH. Kuna mpira zaidi ya Barca na kuichukia Madrid, jaribu kuangalia.
Unaweza ukanambia hao uliowataja hapo juu wameinufaisha nini Madrid?
Aaaaah, Madrid tena kwa mitamaa yenu, kukuza vya kwenu hamuwezi.
koh koh
Hiyo itakua mission failed wala sio impossible.
hahahahhahahahaha