grand millenial
JF-Expert Member
- Jul 29, 2018
- 3,943
- 5,550
Thomas hobbes phylosophies zake huwa naona zimeeegemea zaidi kwenye mrengo wa kuwatawala wengi kimabavu bila ya wao kuwa na haki ya kupinga chochote (total dormination)Hongera kwa bandiko mkuu
Ukipata mda uje na mzee wa social contract
Thomas Hobbes
Kama ni hayo mapozi mkuu, mbona mi naona yako wazi hata hayajajificha???Ngoja nitaje baadhi ya mapozi niliyoyaona
1. Mwanaume katanua mikono juu na kutanua miguu
2. Mwanaume nyoosha mikono juu na kukusanya miguu
Haya ndio ambayo tunayaona wote..
Mengine ni...
3.Mwanaume kanyoosha mkonoo juu kushoto mwingine kulia kaushusha chini ila miguu kaikusanya
4.mwanaume kanyosha mkono juu kulia mwingine kaushusha kushoto ila minguu kaitawanya
5. Mwanaume mguu mmoja upo kati kati ya duara mwingine upo kulia mwisho kautanua kidogo ila mikono kaitanua..
........itaendelea
No,wacha tuzungumzie huu kwanza
Mnatumia nguvu kubwa kuelewa kitu ambacho hakipo kabisa kwenye mawazo ya mchoraji, kwa kifupi mnatafsiri sana hakuna maana nyingi kwenye huo mchoro.
Hiyo sio siri. Ni utaalamu wa kuchoraKautazame mchoro wa Mona lisa kila pembe utakayoangalia utamuona huyo mwaname anakuangalia. Ni yeye tu anaweza kuchora hvo
Hii hapana jaribu kuchukua Picha iliyochorwa Hata na local artist fanya experiment ya hiki ulichoandika, picha nyingi ziko hivyoKautazame mchoro wa Mona lisa kila pembe utakayoangalia utamuona huyo mwaname anakuangalia. Ni yeye tu anaweza kuchora hvo
Naomba unipm pleaseWa nini sasa wanahangaika nao wakati niko hapa chumbani kwangu nina access nao kupitia bandiko lako 😀😀
Exegrations mkuu, ni kama propaganda zingine tu, kukipa kitu umuhimu mkuuubwa for personal interests, ni kama vile tunaaminishwa nyeupe( wazungu) ni bora kuliko nyeusi( weusi/waafrika) na sababu zinatolewa nzuri tu, ukikaa bila kutafakari hilo then utaona hivyo na utaishi ukijua na kuamini hivyo.
Mkuu haya yote umetoa wapi.?INGEKUA VEMA ZAIDI
Na huu Uzi wako pia, Nao ungepeleka uko PM.
Haina maana unaanzisha Uzi hadharani, ila unapokosolewa unataka uhamie PM.
Una ajenda gani huko?
Unaficha Nini huko?
Au mwenzetu una maslahi binafsi na huu Uzi?
Au useme tu huu Uzi umeandika kwa ajili ya watu flan flan special?
Kama Ni hivo, Bora ungewatafuta personal uwatumie Uzi wako kwenye sms Mjadili.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nimeona mwanaume mmoja ana mlawiti mwenzie.Ushoga.Ngoja nitaje baadhi ya mapozi niliyoyaona
1. Mwanaume katanua mikono juu na kutanua miguu
2. Mwanaume nyoosha mikono juu na kukusanya miguu
Haya ndio ambayo tunayaona wote..
Mengine ni...
3.Mwanaume kanyoosha mkonoo juu kushoto mwingine kulia kaushusha chini ila miguu kaikusanya
4.mwanaume kanyosha mkono juu kulia mwingine kaushusha kushoto ila minguu kaitawanya
5. Mwanaume mguu mmoja upo kati kati ya duara mwingine upo kulia mwisho kautanua kidogo ila mikono kaitanua..
........itaendelea
NdioAkili yako imebunguliwa na ngono