Daah sijui kama ntaikumbuka vizuri ila tukio kubwa ambalo lilitokea kwenye episode za mwishoni kuziangalia ilikua ni Huyo gwen alipokufa, kichwa chake kilitundikwa kwenye kijitiNihadithie ulipoishia japo kwa ufupi matukio then nitakuambia ni season gani
Ok... Japo hakuna mtu anayeitwa gwen kwenye seriea, walikufa wakatundikwa kichwa kwenye mti ni Tara,Enid, Highway men, henry,nk hiyo ni S9 Ep 15/16Daah sijui kama ntaikumbuka vizuri ila tukio kubwa ambalo lilitokea kwenye episode za mwishoni kuziangalia ilikua ni Huyo gwen alipokufa, kichwa chake kilitundikwa kwenye kijiti
Halafu kuna sehemu walilipua daraja
Oya hivi yule mchina (asian) haitwi gwen?Ok... Japo hakuna mtu anayeitwa gwen kwenye seriea, walikufa wakatundikwa kichwa kwenye mti ni Tara,Enid, Highway men, henry,nk hiyo ni S9 Ep 15/16
Aliyelipua daraja ni Rick Grime's ilikua S9 episodes za mwanzoni.
Basi ulifika mbali anza S10
yaaah umenikumbusha exactly babisa mchizi alikua anaitwa glenn na huyo kibopa anaitwa negan,Steven Yuen (Glenn Rhee) ni mkorea sio mchina. Aliuawa na Negan
Negan anamazombie yake hata ukiyauliza jina yanakuambia yanaitwa negan hahahayaaah umenikumbusha exactly babisa mchizi alikua anaitwa glenn na huyo kibopa anaitwa negan,
Yule rasi na mzee wa akido nao nimewakumbuka, ngoja nikipata time nitairudia
Yule demu alikua nalipanga hivi kama samurai, aisee namkumbukaNilimkubali sana darly na mapikipiki yakee..na yule demu mweusi sijui machonne
Negan mzee wa Little pig little pig let me in...yaaah umenikumbusha exactly babisa mchizi alikua anaitwa glenn na huyo kibopa anaitwa negan,
MichonneYule rasi
Morgan mzee wa ku clear....na mzee wa akido nao nimewakumbuka, ngoja nikipata time nitairudia
Mkuu unawezaje kukumbuka vyote hivi?Ok... Japo hakuna mtu anayeitwa gwen kwenye seriea, walikufa wakatundikwa kichwa kwenye mti ni Tara,Enid, Highway men, henry,nk hiyo ni S9 Ep 15/16
Aliyelipua daraja ni Rick Grime's ilikua S9 episodes za mwanzoni.
Basi ulifika mbali anza S10
Mkuu my first entertainment ni muvi then music. Yaani nikiona muvi au series nakalili kila kitu kuanzia producer, directors,Writters na actors wote. Yaani kwenye motion picture hunidanganyi kitu... Game of thrones, Marvel movies,The walking dead character wote wapo kichwani.Mkuu unawezaje kukumbuka vyote hivi?
Me nimeichek lakini hata majina ya character kibao nimeshasahau nwakaumbuka tu kwa sura/ile jmage ...
Season ya mwisho kutoka ilikuwa mwaka juzi??
Nimekuapata, hata me nikiaangalia movie au series niliyoielewa huwa na irsuia kuichek mara kwa mara..Mkuu my first entertainment ni muvi then music. Yaani nikiona muvi au series nakalili kila kitu kuanzia producer, directors,Writters na actors wote. Yaani kwenye motion picture hunidanganyi kitu... Game of thrones, Marvel movies,The walking dead character wote wapo kichwani.
Unavyonishangaa nami hua nashangaa mnawezaje kukariri wachezaji wa mpira, ukinipa hata Bilioni nikutajie wachezaji watano wa simba au yangu sijui kabisa
Ilitoka 2015? Kweli season 1 ilikuwa hatari sana ...vitu vilivyofuta hapo hata me sikuvielewa kabisa πππIo series imepotezq mvuto km the arrow ya kina oliva queen season 1 ipo bomba ila zilizofuata ni ujinga mwanzo mwisho
Anaitwa GlenOya hivi yule mchina (asian) haitwi gwen?
Hivi yule sijui aliuliwa na huyo jamaa wa rungu, anaependelea kupiga mluzi...