The Walking Dead series

S8 Rick alimwambia Magie tukimaliza vita wewe ndio utakua kiongozi wangu ila haikutokea. Rick akapotea[emoji22]
Hii series imenifunza kwamba kinachotofautisha kati ya binaadamu na wanyama ni Sheria/Laws
Iv Rick alikuja kurudi Tena?
 
Negan anamuua Alpha ili kumrudhisha Carol na kujenga Imani na kundi la akina Daryl, sikupenda tu pale Rick alivyoacha kuigiza kabisaa
 
Iv Rick alikuja kurudi Tena?
Hapana mkuu Rick hakurudi na hapo ndio show ilipoteza mvuto zaidi, Baada ya Glenn kufa watu waliipoteza interest na hii series ila walikua wanaiangalia tu kwa ajili ya Rick.

Mimi mwenyewe nimeishia S10 naona haina ishu tena, Tatizo kuu ni kwamba hii series haina Happy Ending. Matukio ni yale yale hayana mwisho hadi watazamaji tunaboreka. Ila Rick hakufa, alichukuliwa ndio maana Michonne akaenda kumtafuta
 
Nahisi Rick yupo Mzima, S11 sijaiona ila nimehisi kuna Community kubwa kushinda ambazo tumesha iona.
 
Tofauti ya TWD na Fear The Walking Dead ni nini?
 
Sijaelewa Megan kawaje favourite character... Huyu jamaa ananiboa kuliko King Geoffrey wa Game of thrones..

Jamaa Ali mponda kichwa yule mchina mbele ya dem wake tena ana mimba... aisee jamaa ni katiri alie pitiliza...
 
Oya hivi yule mchina (asian) haitwi gwen?

Hivi yule sijui aliuliwa na huyo jamaa wa rungu, anaependelea kupiga mluzi...
Yaah man Ali mponda ponda ndio maana nashangaa hapa inakuaje kuna watu wana mchukua kama favourite mtu kama Neegan
 
S11 ina story tamu sana usiache kuangalia inatamanisha kuangalia s12.. naisubiri kwa hamu S12
 
rich ndio balaa mpaka leo kanijenga kuwa baba muajibikaji katika familia yuko tayar kupoteza kila kitu lakin cyo familia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…