Uchaguzi 2020 The West has no appreciation to CCM that is why we will vote for Dkt. Magufuli

Bao lililokutunga ni bora lingemwagwa baharini tu samaki wale we ni kituko unaaibisha wenzio
Wewe usojielewa ukisoma comment zangu zinakupa msingi wa mawazo, acha kuzisoma usije kufa bure kabla hujamshuhudia John Pombe Magufuli akipaa kwa kura 98%.
Binadamu wote wanaonifahamu wanamshukuru Mungu na kunibariki wanatamani niwe nao muda wote
 
Wewe usojielewa ukisoma comment zangu zinakupa msingi wa mawazo, acha kuzisoma usije kufa bure kabla hujamshuhudia John Pombe Magufuli akipaa kwa kura 98%.
Binadamu wote wanaonifahamu wanamshukuru Mungu na kunibariki wanatamani niwe nao muda wote
Kufahamika siyo kwa Sura tu Bali pia mtu aweza fahamika kwa uandishi wake,kama uandishi wako ni hopeless ndivyo jamii Utakavyo kuchukulia and vice versa-
 
Nilidhani JF ina uhuru wa kufuta kabisa post zenye lugha mbovu. Hii ina kurasa sita sasa. Sahihisheni haidhuru maneno ya kichwa cha habari kama mengine hamna nguvu ya kuyarekebisha. The post has some of the worst english you can come across!
 
Nilidhani JF ina uhuru wa kufuta kabisa post zenye lugha mbovu. Hii ina kurasa sita sasa. Sahihisheni haidhuru maneno ya kichwa cha habari kama mengine hamna nguvu ya kuyarekebisha. The post has some of the worst english you can come across!
Interpretation ya alichokiandika muhusika ni changamoto mnoo,mwanzoni nilipata shida kujua essence ya Hii mada nikabaki nacheka tu🀣🀣🀣🀣
 
Wewe usojielewa ukisoma comment zangu zinakupa msingi wa mawazo, acha kuzisoma usije kufa bure kabla hujamshuhudia John Pombe Magufuli akipaa kwa kura 98%.
Binadamu wote wanaonifahamu wanamshukuru Mungu na kunibariki wanatamani niwe nao muda wote

We unachekesha sana naona unandika comedy tu

Hao ni vichaa wenzio wanakusapoti wewe akili huna wala hujawah kuwa nayo
 
We unachekesha sana naona unandika comedy tu

Hao ni vichaa wenzio wanakusapoti wewe akili huna wala hujawah kuwa nayo
Kati yangu mimi mama D ninayekuchagulia rais wa kukuongoza na wewe unatumia unayeona hakuna mwanaume kama Tundu nani mwenye akiliπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kati yangu mimi mama D ninayekuchagulia rais wa kukuongoza na wewe unatumia unayeona hakuna mwanaume kama Tundu nani mwenye akiliπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Naona unajichekesha

Ni unacheka uandishi wako ulivo mbovu au πŸ€”
 
The West has already endorsed JPM to win this election through EU.

The only task left is to look after Mr Amsterdam and co.

Also to keep close eye on our satellite receivers.
 
Nilidhani JF ina uhuru wa kufuta kabisa post zenye lugha mbovu. Hii ina kurasa sita sasa. Sahihisheni haidhuru maneno ya kichwa cha habari kama mengine hamna nguvu ya kuyarekebisha. The post has some of the worst english you can come across!
english is my third language not first wewe mndengereko unajitia kunisahihisha ? kwemu Buguruni kwa kimbengele kingereza na wewe wapi na wapi
 
Mlijifanya vidume mkasahau hata mamlaka makubwa mnayo kwa kuwa wao walitaka SASA mumewazingua mabosi wenu mabeberu na wao wameamua kuwafinya kidogo mnaanza kulialia ?
 
Mlijifanya vidume mkasahau hata mamlaka makubwa mnayo kwa kuwa wao walitaka SASA mumewazingua mabosi wenu mabeberu na wao wameamua kuwafinya kidogo mnaanza kulialia ?
Wakayatumie hayo madakara makubwa huko kwao kupambana na COVID-19 maana msimu wa baridi umeingia.

Huku Tz watuache na siasa zetu na demokrasia yetu.
 
Wakayatumie hayo madakara makubwa huko kwao kupambana na COVID-19 maana msimu wa baridi umeingia.

Huku Tz watuache na siasa zetu na demokrasia yetu.
BASI acha kulialia hapa fanya jeuri ukione alichokiona sadamu gadafi n.k
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…