Ziroseventytwo
JF-Expert Member
- Mar 27, 2011
- 8,581
- 15,618
HahhahahahaahaMbona chumba kama hoteli ya kifahari tu....tena wali huo unaonekana umepikwa vizuri..
Bora huko kuliko segerea
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahhahhaha,haya bana fresh tuSawa snowhite...kajina kako kana ukichaa kajina mbali
TABU INAKUWA PALE PALE!!Wali mweupe pee!!
Vipi hakuna mboga au wanashushia na maziwa!?
HakunaWali mweupe pee!!
Vipi hakuna mboga au wanashushia na maziwa!?
Ukitoka huko unaeza ukazisahau rangi halafu ukadata mazima!
Unatoka ukiwa popomaUkitoka huko unaeza ukazisahau rangi halafu ukadata mazima!
Wewe umejuaje kama hakuna mboga?
Roma naye vinati vimeregea si uliona alivyotoka alianza kuimba kibamia.
Mboga nyeupe ipoWali mweupe pee!!
Vipi hakuna mboga au wanashushia na maziwa!?
Ukitoka unitag kama utakuwa unakumbukaBora niende huko white room ... Yaan bora hata nitite meupe bora niende ...
a e i o u
Rangi nyeupe ndiyo ya mhimu zingine hazina maanaUkitoka huko unaeza ukazisahau rangi halafu ukadata mazima!
Sasa si ndio ningeshangaa!
Kuna wa wakili maarufu sana aliitwa Kuwayawaya aka man in red nahisi bado ana practice. Ilikua miwani hadi saa pete suit mashati na land cruiser lake piaHata mtu akiwa anamechisha sana
mfano ANAYEVAAA NGUO NYEUPE TU!
NJANO TU
NYEKUNDU TU KUANZIA MIWANI MPKA KALAMU!
huwa ni dalili ya ukichaa!
so hiii naweza kuielewa inavyoweza mfanya mtu atoke hapo akiwa totally insane!.