Mtyela Kasanda
JF-Expert Member
- Oct 13, 2018
- 554
- 818
🙄 unatuchanganyaSehemu ya shamba la viazi mviringo yaani ⅓ ya eka moja, inatoa vipeto ( gunia za debe 4) kuanzia 12 guaranteed.
Lipo karibu na barabara pia unaweza kujenga nyumba na sehemu ikabaki.
Bei ya kutupa milioni 2 na laki 3.
Viazi vina faida sana. Wasiliana PM au piga 0756 254 925.
View attachment 1239995
Kwan kumsaidia heka moja=70*70=4900sqm.yeye anauza theluthi yake ⅓ hivyo 4900sqm ÷3~1640sqm.ambacho hujaelewa hapo ni hesabu au biashara yenyewe?Kweli mahesabu yana ugumu wake. Sijafahamu mtoa mada anamaanisha nini hasa, japo najua anauza shamba.
Je hiyo theluthi moja anayoizungumzia ni theluthi moja ya eneo/ukubwa gani? Mfano: Heka au nusu heka?
Kwan kumsaidia heka moja=70*70=4900sqm.yeye anauza theluthi yake ⅓ hivyo 4900sqm ÷3~1640sqm.ambacho hujaelewa hapo ni hesabu au biashara yenyewe?