Then & Now: Walipo kwasasa waliokuwa walinzi wa hayati Magufuli

Then & Now: Walipo kwasasa waliokuwa walinzi wa hayati Magufuli

OC-CID

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2023
Posts
200
Reaction score
463
Kuna ambao wamerudi kuendelea na majukumu ya ulinzi kwa viongozi wengine. Na kuna ambao wapo katika majukumu mengine ya kitaifa. Baadhi yao ni kama ifuatavyo;

Huyu kwasasa ni mlinzi wa Naibu Spika
FF7AF352-FF8C-4856-B73B-959EB576577B.jpeg


Huyu mwingine ni Mlinzi wa Mizengo Pinda
56CC0E4C-B5E3-47FA-9E8C-89451E052791.jpeg


Na huyu mwingine yeye ni Mbunge wa kule Nkasi
24C629AF-B5B9-49A7-A6E3-E659D0B0370D.jpeg


Huyu mwingine ni dso kule Moshi
CC1E5CB8-8BDA-4015-90B6-3FB49FB286AF.jpeg
 
 
Kuna mwingine hata facebook hapatikani, sijui kajiondoa.
 
Kuna ambao wamerudi kuendelea na majukumu ya ulinzi kwa viongozi wengine. Na kuna ambao wapo katika majukumu mengine ya kitaifa. Baadhi yao ni kama ifuatavyo;

Huyu kwasasa ni mlinzi wa Naibu SpikaView attachment 2733114

Huyu mwingine ni Mlinzi wa Mizengo PindaView attachment 2733115

Na huyu mwingine yeye ni Mbunge wa kule NkasiView attachment 2733117

Huyu mwingine ni dso kule MoshiView attachment 2733119
Hivi yule mtu mweusi, bonge Fulani hivi yuko wapi jamani?
 
Kuna ambao wamerudi kuendelea na majukumu ya ulinzi kwa viongozi wengine. Na kuna ambao wapo katika majukumu mengine ya kitaifa. Baadhi yao ni kama ifuatavyo;

Huyu kwasasa ni mlinzi wa Naibu SpikaView attachment 2733114

Huyu mwingine ni Mlinzi wa Mizengo PindaView attachment 2733115

Na huyu mwingine yeye ni Mbunge wa kule NkasiView attachment 2733117

Huyu mwingine ni dso kule MoshiView attachment 2733119
Kwani Kuna mtu Huwa anajipangia wa kumlinda? Hicho si ni kitengo wakubwa wanateua nani wakalinde?
 
Back
Top Bottom