Kuna ambao wamerudi kuendelea na majukumu ya ulinzi kwa viongozi wengine. Na kuna ambao wapo katika majukumu mengine ya kitaifa. Baadhi yao ni kama ifuatavyo;
Huyu kwasasa ni mlinzi wa Naibu Spika
View attachment 2733114
Huyu mwingine ni Mlinzi wa Mizengo Pinda
View attachment 2733115
Na huyu mwingine yeye ni Mbunge wa kule Nkasi
View attachment 2733117
Huyu mwingine ni dso kule Moshi
View attachment 2733119