luambo makiadi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 10,602
- 8,798
HahahaUthibitisho huu hapa wakuu. Ni mwaka 1960 November 19 gazeti za Kichagga lililojulikana kama 'Komkya' ukurasa wa 19 wa mambo ya starehe linazungumzia umashuhuri wa mabinti warembo wa Moshi wakati huo wakiwaita 'vipusa'... Vipusa Teleeeee! Ahhaahaaaaaaa! Kweli tumerudi nyuma sana cku hizi.
View attachment 1015054
Mashindano yameanza 1960, lakini "mrembo wa kwanza kunyakua taji hilo" ilikuwa 1967.
Okay, nadhani walikuwa wanatoka draw miaka saba mfululizo mpaka '67
Kilikua kitoeo chawatu
Miaka hiyo hakuna mchina wala mkorogo, walikuwa wanaitwa vipusa, natural ebonies!
Miss Tanzania wa kwanza, Theresa Shayo akipita kwenye kingo za bwawa la kuogelea la hoteli ya Kilimanjaro mwaka 1967.
Ha ha ha ha na kina Bi kidudeUsiogope kiongozi....ng'ombe hazeeki maini.......kizazi cha kina bi cheka hicho.
AlikufaKuna anayejua alipo Theresa Shayo ?
Alikufa
Kwamba hapo alikuwa na 21
DsHa ha ha ha na kina Bi kidude
Kweli?Alikufa
... umeambiwa lilifutwa 1967; can't you even guess why?kwanini serikali ililifuta?!
Kabla ya kunukuu article jiridhishe. Kuna washindi hujawataja tangu kuanza mpaka kwa Theresa, or else alikuwa wa kwanza 1960 na waliofuatia mpaka yanasitishwa hawakutajwa.That is an article from a website mkuu mbona kama wani lalamikia mimi? Haukuona link kwenda kwenye hiyo article? Ukitaka jaribu kuwasiliana na mtunzi wa hiyo article.