2 of Amerikaz most wanted
JF-Expert Member
- Jan 13, 2023
- 1,328
- 3,718
Would you go in?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kunya pembeni uone

Ninachowapendea hawa Simba huwa hawana matatizo na watu wafuatao sheria......ukinya pembeni au kukojoa kwenye nyasi ndipo utaona ubaya wao. Kama una mavi yamekubana, bisha hodi watakupisha. Big up Serikali ya Tanzania kuweka simba walinzi kama hawa. Tunahitaji kuwepo na simba wengine kwenye mbuga zetu zote ili kuepusha ujinga wa wataliii wanyao hovyo mbugani.
Naijua hiyo.Unawafukuza tu na kuwafanyia Shiishiiishiii wnaaondoka unaingia
Interesting...