These pics of Nairobi Terminus will make you think a bullet train is on the way but...

Jay456watt

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2016
Posts
10,356
Reaction score
7,992





the trains though.....
(freight train)

passenger train

look at what they are using in China (the platform looks simlar to the kenyan one)

just compare the stations and the trains!!!!! Tukubali tu tulichezewa "kamare" apa kama wakenya....I'm sure Uhuruto pocketed billions from this project.
 
Lazima aende zake!...ametutia hasara ya kuhangaika tena kutafuta treni nzuri siku za usoni.
Something we would have just done once and move on the next agenda....amekula hela sana hapa, yeye na huyo fisadi mwenzake!

Waondoke upesi!
don't spoil the thread with politics please
 
Mnataka tren zenye ubora au nzuri kimuonekano..?
 
kwa hakika Kenya mko vizuri sana sana, wala hatutakuja kuwafikia hata siku moja, tunaendelea kutumbua majipuuu





the trains though.....
(freight train)

passenger train

look at what they are using in China (the platform looks simlar to the kenyan one)

just compare the stations and the trains!!!!! Tukubali tu tulichezewa "kamare" apa kama wakenya....I'm sure Uhuruto pocketed billions from this project.
[/QUOTE]
 
hehe train za iizamani mnoooo//......
na bora huo mradi ulivyoisha tu hovyo kabisa,....
tulikuwa hatulali humu mitandaoni.....
sissi huku tz tunaendelea na maflyover yetu mji mzima wa dsm
 
hehe train za iizamani mnoooo//......
na bora huo mradi ulivyoisha tu hovyo kabisa,....
tulikuwa hatulali humu mitandaoni.....
sissi huku tz tunaendelea na maflyover yetu mji mzima wa dsm
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ flyover!! bure kabisa
zaidi ya hayo, kama hamkuweza kulala wabongo, hivi hamna bahati kwani pindi tu itakapo zinduliwa rasmi utaskia kelele zaidi kutoka kwa wakenya..nawaombea mpate treni afadhali kuliko hizi kwa SGR yenu itakapokamilika...flyover sio jambo la kutuambia
 
by the way, this station sijaiona ni ya wapi kweli ama ni phase 2?
 


Baada ya miaka 20 hayo yote yatabakia kuwa magofu tu, na hata hizo Treni za Mchina mnaziponda pia hazitakuwepo, we have been there man, Railway station ya Nairobi pia ni nzuri sana na ilikuwa hivyo hivyo wkt inafunguliwa leo hii ni Museum ya Mzungu kuja kuangalia colonial relics !
 
ile station ya Nairobi CBD ilijengwa miaka 100 iliyopita...huwezi uka compare miundo mbinu ya enzi hizo na za kisasa..alafu skuelewi...wataka kusema baada ya miaka 20, stesheni hiz pya zitakuwa museum?
 
ile station ya Nairobi CBD ilijengwa miaka 100 iliyopita...huwezi uka compare miundo mbinu ya enzi hizo na za kisasa..alafu skuelewi...wataka kusema baada ya miaka 20, stesheni hiz pya zitakuwa museum?


Swali ni kwamba kwa nini imekufa? Ni nini kilichoiua? Na ugonjwa ulioiuwa umeshapatiwa kinga/tiba? Kuna nchi zina station za zamani zaid klk ya Nairobi lkn bado zinafanya kazi, hivyo maadamu kilichoua station ya Nairobi hakijashughulikiwa hata hii mpya pia itakufa hivyo hivyo!
 

Sitaki nilete picha za Stesheni I za reli Toka tz but waishi nyumba ya vioo mawe kaka si ukae mbali nayo! Kuwa kwa mjadara Na mtu haelewi simple econ ni janga! Safari za reli za Abiria Na shughuli za kibiashara kwa reli ya kikoloni zilififia kabisa Kenya! You can't renovate a station not making money! It's not sustaining itself!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…