They ain't got guts.

They ain't got guts.

Joined
May 31, 2013
Posts
9
Reaction score
0
Hv wana JF wizara imeshndwa kutangaza selection up to date ama ndo wana mpango wa kufuta tena matokeo?,ama ndo hakuna tena kwenda shule ?,mbona wamekuwa mabubu ghafla hatujui knachoendelea!,labda kama kuna anayejua bac afanye kama kunijulisha hv.
 
Back
Top Bottom