klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,647
- 5,145
kamanda, namimi nina pointi yangu nataka kumuandikia jamaa lakini acha niangalie wewe kwanza kama utatoka salama. hiyo rungu hapo pembeni inatisha hata kuiquote.mkuu hawa dada zetu nao wamezidi......ukisema kitu chochote kuhusu wao hata kama sio against wao, wanakuja juu kama moto wa crude oil!
Na wana kashfa hawa!!! utasikia oooh kibamia, ooh, mwanaume sarawili, ooh halipi bills, oooh ana nanihii inatoboa kama mshale...kwani aliniona mi swala.....sasa hivi wameanza na eti wanaume hawajui vesi......hahahaha! wataanza kututongoza....hii ni kashfa bana.
kwa hapo unaweza pata ukasaidie kulea watoto,hata mimi nikiwa na miaka 55 ntaanza kufikiria kuolewa tehe tehe tehe.
kwa nn usibadili mawazo tu tukaunganisha mioyo yetu wakati huu?
mkuu hawa dada zetu nao wamezidi......ukisema kitu chochote kuhusu wao hata kama sio against wao, wanakuja juu kama moto wa crude oil!
Na wana kashfa hawa!!! utasikia oooh kibamia, ooh, mwanaume sarawili, ooh halipi bills, oooh ana nanihii inatoboa kama mshale...kwani aliniona mi swala.....sasa hivi wameanza na eti wanaume hawajui vesi......hahahaha! wataanza kututongoza....hii ni kashfa bana.
Taabu ya nini wakati raha chungu nzima,ila usife moyo subiri nifikishe 55.
kamanda, namimi nina pointi yangu nataka kumuandikia jamaa lakini acha niangalie wewe kwanza kama utatoka salama. hiyo rungu hapo pembeni inatisha hata kuiquote.
Taabu ya nini wakati raha chungu nzima,ila usife moyo subiri nifikishe 55.
Usiogope mkuu Bigirita rafiki yangu kama walivyo members wote. Mtu akiwa si mvunjaji wa sheria za JF mbona tuna patana tu. Take me as a friend who is a police. Bar tuta kunywa wote ila ukifanya uhalifu itabidi tu nikutie pingu ha ha.
wakati huu ndio mzuri shosti mambo ya kuongezea sijiu mkuyati au viagra hayanogi. Ila ngoja nisiseme sana, wasije amka wamiki wakaanza kunishambilia.
pamoja sana mkuu!Usiogope mkuu Bigirita rafiki yangu kama walivyo members wote. Mtu akiwa si mvunjaji wa sheria za JF mbona tuna patana tu. Take me as a friend who is a police. Bar tuta kunywa wote ila ukifanya uhalifu itabidi tu nikutie pingu ha ha.
wakati huu ndio mzuri shosti mambo ya kuongezea sijiu mkuyati au viagra hayanogi. Ila ngoja nisiseme sana, wasije amka wamiki wakaanza kunishambilia.
ahaaa! Afazali manake nilipata tetesi mnatest mitambo mipya ya kupiga ban kwa hiyo tangu nilipokuona nikawa nachangia kwa makini kweli. Basi wacha niwe huru kidogo.
unajihami eeh!
Ha ha ha mkuu ume nichekesha. Si unajua tena mwanamke ana shikilia ufungua wa ego ya mwanaume? Hata kama unajiona handsome vipi dada akisha kuita ugly lazima uka jicheki kwenye kioo mara mbili mbili ha ha.
Binafsi mimi nadhani wanawake wengi wana chukulia ndoa kama ultimate goal bado japo kutokana na maisha kubadilika hamna haraka kama zamani (siku wepo zamani nahisi tu). Ila wanawake wengi (si wote) bado wanajali kuolewa.
Ila ngoja nisiongee kwa niaba ya dada zetu kwa sababu wao wenyewe wapo humu wata tueleza hisia zao. Mie naogopa bwani nyundo yangu nisije nika geuziwa mimi ha ha.
kumbe hata jaluo ipo ogopa ban?
Silali njaa mie,ila nahofia nikifika huko naweza kulala njaa siku mojamoja.
naogopa manundu nisije kosa mchumba.
mkuu usjali sana, ukienda tutakuanzishia sredi ya kuomba ufunguliwe, then utapata kujua nani swahiba zako na nani adui zako (hii ndio advantage ya ban)weeeh! Wacha mucheso kabisa. Mutu hapa napata raha namuna hii halafu keso unataka nikwende geresani?
mkuu usjali sana, ukienda tutakuanzishia sredi ya kuomba ufunguliwe, then utapata kujua nani swahiba zako na nani adui zako (hii ndio advantage ya ban)
<br /><b><font color="blue">Ha ha Jaluo_Nyeupe una niruhusu nikupe kaban ili tutest theory ya Klorokwini? Ha ha.</font></b>