3llyEmma
JF-Expert Member
- Oct 23, 2017
- 6,172
- 6,884
Mchezaji na nyota wa zamani wa Arsenal na Fc Barcelona THIERRY HENRY amesaini miaka mitatu(3)kuwa kocha mkuu wa As Monaco ya Ufaransa.
Henry ambae pia ni mshindi wa kombe la dunia1998 akiwa na timu ya taifa lake la UFARANSA amechukua nafasi ya LEONARDO JARDIM ambae amekuwa na matokeo mabaya tangu kuanza kwa msimu Huu.
Henry ambae alikuwa kocha msaidizi wa UBELIGIJI chini ya ROBERTO MARTINEZ amekuwa na ndoto pia za kuifundisha klabu ya Arsenal siku za usoni.
Kocha Leonardo Jardim atakumbukwa kwa kuipa ubingwa wa LIEGE 1 AS MONACO mwaka 2016-2017 na kuwaduwaza wapinzani wake PSG.. PIA katika msimu huohuo wa 2016-2017 JARDIM Aliwafikisha Monaco nusu fainali mashindano makubwa ya ulaya UEFA.
MONACO inatawa kupoteza makali yake baada ya kuwauza wachezaji wake tegemeo kabisa kama,..
KYLIAN MBAPPE
BENARDO SILVA
MARTIAL
THOMAS LEMAR
BAKAYOKO
FABINHO
BENJAMIN MENDY
.. Leonard Jardim amekuwa kwenye wakati mgumu UEFA baada ya kupoteza mechi dhidi ya ATLETICO MADRID na BORUSSIA DORTMUND.
Henry ambae pia ni mshindi wa kombe la dunia1998 akiwa na timu ya taifa lake la UFARANSA amechukua nafasi ya LEONARDO JARDIM ambae amekuwa na matokeo mabaya tangu kuanza kwa msimu Huu.
Henry ambae alikuwa kocha msaidizi wa UBELIGIJI chini ya ROBERTO MARTINEZ amekuwa na ndoto pia za kuifundisha klabu ya Arsenal siku za usoni.
Kocha Leonardo Jardim atakumbukwa kwa kuipa ubingwa wa LIEGE 1 AS MONACO mwaka 2016-2017 na kuwaduwaza wapinzani wake PSG.. PIA katika msimu huohuo wa 2016-2017 JARDIM Aliwafikisha Monaco nusu fainali mashindano makubwa ya ulaya UEFA.
MONACO inatawa kupoteza makali yake baada ya kuwauza wachezaji wake tegemeo kabisa kama,..
KYLIAN MBAPPE
BENARDO SILVA
MARTIAL
THOMAS LEMAR
BAKAYOKO
FABINHO
BENJAMIN MENDY
.. Leonard Jardim amekuwa kwenye wakati mgumu UEFA baada ya kupoteza mechi dhidi ya ATLETICO MADRID na BORUSSIA DORTMUND.