Vinginevyo utwaambie wee hufanyaga mapenz gizani,Nitengue kauli kivipi? [emoji1787]
Nikwambie tu kwamba penis ni tofauti na ulimi kusema kwamba utahisi utamu,uchachu, uchungu n.k, kaka wewe mwanamke thick wengine hawamuelewi, kama unamuelewa mwembamba wengine hawamuelewi, utamu ni hisia zako binafsi..
Unabisha kitu usichokijuaHaingii akilini mwanamke akatengeneze thigh gap gym ama kwa operation wakati kuwa nayo means una rambo
Ni kama vile wanaume wafanye operation ama gym kutengeneza vibamia
Njoo na utafiti mwingine..hii logic inakataa
Ahsante
Sitaki kuamini kama we ni mgumu kuelewa kiasi hiki!!!Vinginevyo utwaambie wee hufanyaga mapenz gizani,
Hunaga MDA wa kumchojoa na kumkagua maumbile mwenza wako.
Uwazi mwingine Ni mkubwa mno,
Mpaka mapaja hayakutani kabisa akisimama wima[emoji116]View attachment 1984186
Kitaalamu mifupa ya nyonga inavokua mipana ndo uke nao inavokua mpanaAhsante
Sema thigh gap is a standard of beauty hasa kwa nchi za magharibi zinazothamini wembamba/english figure
Ndio mana wanapenda kuwa nayo
Haihusiani na kuwa na rambo
Hujawai mtamani mwanamke, hisia za kusex na zikawa juu.Sitaki kuamini kama we ni mgumu kuelewa kiasi hiki!!!
Itoshe tu kwa kusema hisia zako ndio utamu wako..
Au mkuu hufahamu nini maana ya hisia?
Inategemea umetamani nini kwake na baada ya tendo au wakati wa hilo tendo vitu vipi vime ku dis appoint...Hujawai mtamani mwanamke, hisia za kusex na zikawa juu.
Afu ukawa dissappointed soon TU baada ya kusex nae once?
Unalizungumziaje hili.
Kabisa,Duh wadada wanahangaila sababu ya wakaka.. na mchina fursa kama izi uwa hapishani nazo anakuundia tu dawa ya kupatanua..
Wengine nilisikia wanapunguza mbavu ili waonekane wanaviuno vyembamba
Hyo inaitwa "SEXY TEGE"Uwazi mwingine Ni mkubwa mno,
Mpaka mapaja hayakutani kabisa akisimama wima[emoji116]View attachment 1984186