Thika Highway ($360mln) vs Kibaha Highway ($65 mln)

Salender bridge mkandarasi yupo kazini.. Wewe unaishi mkoa gani??
 
Kwa hii,Wakenya mumejitahidi,frankly speaking.
 

Achana na huyo ana stress na maisha yake.

Anasema mradi ambao watu wako site ni SGR peke yake, nawewe una msikiliza!!!!,mimi najua wewe ni mkenya lakini kuna vingi unajua kumzidi sababu tumeishakufundisha.embu nikupe kazi ya kumuelekeza.
 
hahahaaaaaa matusi tena?......... hio ligi ya matusi siiwezi!


the thing is, hizo projects bado zana ku-kick off.......


endelea kuwadanganya wakenya humu..... i'm off!!!

I'm off unakimbia kwenda wapi rudi hapa tukukoe kichwa yako imejaa maji???

Una uhakika ni SGR peke ndio watu wapo kazini???au huna hela ya sikukuu umedata dada????
 
Kama hauishi Dar.. Usiseme mambo ambayo hujui... Dar port exapnsion ishaanza
Highway ya kimara -kibaha ishaanza.. Au unabisha uletewe picha
kimara-kibaha si imezinduliwa majuzi?......


ndugu, sema jiwe la msingi limewekwa usiseme imeanza!.........
 
mkuu, tusilazimishane...........


awamu hii kila mtu anatazama mambo kwa vile atakavyo, nyie mmechagua kudanganya hata vitu wazi endeleeni..........
 
Huyu ndio wale pingapinga
unawezaje kupinga vitu vinavyoonekana?.........


kumbuka, kwenye post yangu nimesema HAWAJAANZA PROJECTS..........


tofauti ya mimi na wewe ni kwamba mimi naongelea kazi inayoonekana, ila wewe unaongelea kazi isiyoonekana kana kwamba inaonekana!.........

mtu akisema twende stiers g ukanionesha kazi, utaanza habari za upembuzi sijui wanaandaa timu, ...........
 
Achana na huyo ana stress na maisha yake.

Anasema mradi ambao watu wako site ni SGR peke yake, nawewe una msikiliza!!!!,mimi najua wewe ni mkenya lakini kuna vingi unajua kumzidi sababu tumeishakufundisha.embu nikupe kazi ya kumuelekeza.
umeambiwa picha za bagamoyo site unaniongelea mimi.........


mkuu, watanzania miradi yetu miaka yote iko hivyo hivyo!.......


hio bagamoyo hapa uzi wake una miaka mingi, na ilitakiwa iwe ishaanza kutumika, lkn mpk leo hakuna kitu..........


mimi kama mtanzania ni lazima nishangilie kitu ninachoona kinafanywa sio kama nyie wazee wa blah blah........ mnashangilia maneno!
 
I'm off unakimbia kwenda wapi rudi hapa tukukoe kichwa yako imejaa maji???

Una uhakika ni SGR peke ndio watu wapo kazini???au huna hela ya sikukuu umedata dada????
leta picha za miradi inayoendelea, ukiachana na sgr na hio ubungo...............


matusi siyawezi, kwaio usitukane!
 
Achana na huyo ana stress na maisha yake.

Anasema mradi ambao watu wako site ni SGR peke yake, nawewe una msikiliza!!!!,mimi najua wewe ni mkenya lakini kuna vingi unajua kumzidi sababu tumeishakufundisha.embu nikupe kazi ya kumuelekeza.
Nipe Picha za Bagamoyo kama ushahidi halafu nimuelekeze.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…