Haijanyakuliwa na haitanyakuliwa.Hivi mombasa port ishanyakuliwa tatari? Aisee east africa wachina wanainyemelea
Nimekimbia youtube kuangalia uzinduzi wa hilo daraja rembo nikashtuka kumbe ni uzinduzi wa UJENZI wa daraja. Gerrr outa here men. Uje mkimaliza kujenga.Naona imekugusa pabayaπ€£π€£π€£Pata na hii ya leoπ π π πππView attachment 973245
Ndarudia hadi kieleweke, hatupendi uwongo na mijisifa bila facts. Tembea ukajionee, kisha tulia.Ahsante kwa kutuletea na service road...[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Alafu kutoka Lesambu to Thika ni 6 lanes..Elewa mada iliyopo mezani..Sisi yete ni complete 8 lanes bila kuweka service road
This is one side on your way to cbd from roysambu/kasarani/thika.,hamuwezi badili ukweli[emoji116][emoji116][emoji116]Kijana mzee, hiyo 19km 8 lanes bado ni ndogo, Thika road from town to Kadarani area(hapo Roysambu flyover) is 22km., 12 lanes kwa jumla!!., now sasa lets compare the equal distances, bado hampo!!Ndarudia hadi kieleweke, hatupendi uwongo na mijisifa bila facts. Tembea ukajionee, kisha tulia.
[emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 973465View attachment 973466
thika is 50km youi foolIt's time again to look at the value for taxpayers' money in these two projects. Though three Chinese contractors i.e. Synohydro, Wu Yi n Shengli Engineering built Thika's 40 km Highway that claimed to be superhighway by Kenyans, Kibaha's 19 km Highway is to be built by native Tanzanians.
Kenya wako mbali Sana, ni aibu sana kujilinganisha na wao. Na ukweli lazima usemwe.
Wako mbali nawewe.
Kwani unaishi pori gani??
Hii njia itakua kama ile ya brt yao. The ugly road yenye inapitia slums[emoji28][emoji28][emoji28]
Pori la Dar es Salaam
Ndio maana najiuliza!!!mbona nyani zimepungua sana kwenye mapori mbali mbali,kumbe wameenda kuungana na wengine nairobi msimu wa sikukuu.
The highway is 40 km!thika is 50km youi fool
Evidence pleaseThe highway is 40 km!
Ati Dar ni pori πππNdio maana najiuliza!!!mbona nyani zimepungua sana kwenye mapori mbali mbali,kumbe wameenda kuungana na wengine nairobi msimu wa sikukuu.
Hahah nyie wakenya ni wajinga sanaKenya wako mbali Sana, ni aibu sana kujilinganisha na wao. Na ukweli lazima usemwe.