mpiga domo
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 852
- 1,507
Habari Zenu Wakuu,
Ningependa kupata msaada wa kujua kama hapa nchini Tanzania kuna hizi organizations ambazo nchi za wenzetu wanaita "Think Tanks"
Nchi za wenzetu hizi "Thinks Tanks" zimekua ni very influential kwenye ku'advocate varieties of public and social policies na pia kufanya research na kutolea utatuzi juu ya masuala mbali mbali ya kijamii ikwemo ya kiuchumi, kisayansi na mengineyo mengi.
Think Tanks kwa nchi zilizoendelea imetoa ajira kwa vijana wengi ambao wamemaliza elimu ya juu. Pia nina uhakika hata hapa Tanzania inaweza kuwa msaada mkubwa katika kutoa ajira na kuwapa uzoefu kwa vijana wengi waliomaliza elimu ya juu ambao wana uwezo kiakili lakini hawana kazi.
Msaada wangu hasa kutoka kwenu wakuu ni haya yafuatayo;
1) ningependa kujua structure yake kama unataka kuanzisha according to local laws inatakiwa iweje na vitu gani specific hasa ambapo kisheria hizi "Think Tanks" zinaruhusiwa kufanya.
2) Au kama zipo sema hapa Tanzania zinapewa majina mengine pia ningependa kufahamishwa
Asanteni Sana.
Ningependa kupata msaada wa kujua kama hapa nchini Tanzania kuna hizi organizations ambazo nchi za wenzetu wanaita "Think Tanks"
Nchi za wenzetu hizi "Thinks Tanks" zimekua ni very influential kwenye ku'advocate varieties of public and social policies na pia kufanya research na kutolea utatuzi juu ya masuala mbali mbali ya kijamii ikwemo ya kiuchumi, kisayansi na mengineyo mengi.
Think Tanks kwa nchi zilizoendelea imetoa ajira kwa vijana wengi ambao wamemaliza elimu ya juu. Pia nina uhakika hata hapa Tanzania inaweza kuwa msaada mkubwa katika kutoa ajira na kuwapa uzoefu kwa vijana wengi waliomaliza elimu ya juu ambao wana uwezo kiakili lakini hawana kazi.
Msaada wangu hasa kutoka kwenu wakuu ni haya yafuatayo;
1) ningependa kujua structure yake kama unataka kuanzisha according to local laws inatakiwa iweje na vitu gani specific hasa ambapo kisheria hizi "Think Tanks" zinaruhusiwa kufanya.
2) Au kama zipo sema hapa Tanzania zinapewa majina mengine pia ningependa kufahamishwa
Asanteni Sana.