lucy mboya
Member
- Jun 18, 2011
- 9
- 3
lucy uko sahihi kabisa dada yangu.Hivi ni kwa nini unaamua kuingia kwenye maisha ya mtu kama unajua fika kuwa hauko tayari kukaa naye? Nawasilisha
Hapana Mkuu! Mtu haingii kwa mtu.. Ni pepo ndo anafanya hivyo. Vinginevyo wanaingiliana hao wawili. Am ai raiti??
Hivi ni kwa nini unaamua kuingia kwenye maisha ya mtu kama unajua fika kuwa hauko tayari kukaa naye? Nawasilisha
DuuuhhhhKumbe unaweza ukitaka...Mimi penda weweHukuna cha pepo hapo, nadhan lack of focus and selfishness hua ndio chanzo cha yote. Mtu hupenda kujisatisfy pasipo kujua mbeleni itakuwaje. hapa watu hufanya mambo kwa kukurupuka, kuiga wenzeo mwisho wa siku huaribikiwa!
DuuuhhhhKumbe unaweza ukitaka...Mimi penda wewe
Teh! Mimi pia penda wewe so much! Teh! Teh! Teh!DuuuhhhhKumbe unaweza ukitaka...Mimi penda wewe
Hiki ni kiduku au ndio swaga za kikongo?
Hahahahaha lolSafi sana mama ObamaHata kaa asahau hiiSante Ivuga..
Kiduku originalHahahahaha lolSafi sana mama ObamaHata kaa asahau hiiSante Ivuga..
Wangemweka na Marlow hapoMmmhhhh pangekuwa hapashi kiki...Kiduku original
Hukuna cha pepo hapo, nadhan lack of focus and selfishness hua ndio chanzo cha yote. Mtu hupenda kujisatisfy pasipo kujua mbeleni itakuwaje. hapa watu hufanya mambo kwa kukurupuka, kuiga wenzeo mwisho wa siku huaribikiwa!
yani hapo alikuwa hafurahii kiduku bali trailer la movies ya wakati wa utumwa ndo linaendelea kichwani mwa 1st lady huyu.hahahahaha lolsafi sana mama obamahata kaa asahau hiisante ivuga..
Selfishness ...
It's all about me..
Me me me me just me ...Hukuna cha pepo hapo, nadhan lack of focus and selfishness hua ndio chanzo cha yote. Mtu hupenda kujisatisfy pasipo kujua mbeleni itakuwaje. hapa watu hufanya mambo kwa kukurupuka, kuiga wenzeo mwisho wa siku huaribikiwa!