unaweza ukazani ukifikisha ndoto yako ndio utakuwa you have it all lakini sio kweli, unaweza ukatimiza ndoto na bado ukafeel empty,
Then Unaanza tena na moja kutimiza ndoto nyingne, maisha ni safari na ili ufurahie safari yako inabid uenjoy kila chek point unayopitia, nunua snack😅kula...