This is enough, shule zifunguliwe tu

Umleavyo ndivyo akuavyo.....Wakati tubakwenda shambani wao wanachezea remote ....Naakitoka utaskia "dad can i use your πŸš— car"

@ πŸƒπŸƒπŸƒ
 
Umleavyo ndivyo akuavyo.....Wakati tubakwenda shambani wao wanachezea remote ....Naakitoka utaskia "dad can i use your [emoji594] car"

@ [emoji125][emoji125][emoji125]
Samahani mkuu, hapa mjini mimi sijabahatika kumiliki shamba.
Na sioni kama nina paswa kumuazima kijana wangu motokari kama ataniomba sikwaubaya...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…