Moyo wako ni delicate sana?
Dear WanajamiiForum
Ningependa nichukue nafasi hii kuwatakia Happy Easter 2011 na Happy Muungano Day......... Tuendelee kushauriana, kusaidiana na kupendana........Its all about Mapendo Mapenzi na Mahusiano.
I dedicate a song ..... This is From Me to You .....by Yvonne Chakachaka (Mama Africa).............
From me to you by Yvone Chaka Chaka + lyrics / Naijapals Nigerian music
Love You All,.......
Hata mimi naogopa kuachwa, japo roho inanisuta na kunitaka niseme " i love you MwanajamiiOne and wish u happy and enjoyable Easter". stay blessed.Thanks MwanaJ1, mke wangu ana wivu sana nikisema luvn u inaweza kunicost bt ujumbe umefika...Happy Eater bi dada
Asante, ufufuo wa yesu ukaenda ndani yenu. Msifanye mioyo yenu migumu, lizzy ukiwa na imani ya kuvunjwa moyo basi ujue unaongelea past history siyo leo.
Ebu ondoa hilo shaka na mwambie yesu nitendee nipe boyfriend mwema, mume, etc. Atakupa ni mwaminifu.
Wenzetu huwa wanaya paint for easter
Dearest naogopa kupenda nisije nikavunjwa moyo...
MJ1 si wa kukuvinja moyo,am kweli ukishang'atwa na nyoka.......
naomba usiogope kupenda....penda tena sana....ukivunjwa moyo mara nyingi kama dearest wako....utakuwa strong sana na utapenda tu hata pale usipotarajia kupokea upendo....l.o.l
Dear WanajamiiForum
Ningependa nichukue nafasi hii kuwatakia Happy Easter 2011 na Happy Muungano Day......... Tuendelee kushauriana, kusaidiana na kupendana........Its all about Mapendo Mapenzi na Mahusiano.
I dedicate a song ..... This is From Me to You .....by Yvonne Chakachaka (Mama Africa).............
From me to you by Yvone Chaka Chaka + lyrics / Naijapals Nigerian music
Love You All,.......
Michelle,hapo kwenye red siafiki,mpende akupendae bana.MJ1 si wa kukuvinja moyo,am kweli ukishang'atwa na nyoka.......
naomba usiogope kupenda....penda tena sana....ukivunjwa moyo mara nyingi kama dearest wako....utakuwa strong sana na utapenda tu hata pale usipotarajia kupokea upendo....l.o.l