mwemweremwemwere
JF-Expert Member
- Jan 4, 2016
- 605
- 677
Mkuu,comment yako imenifanya niongeze siku za kuishi.I am a normal person dealing with normal challenges.The problem is I think of death too much and in a curious way like may be after I die I will understanda the meaning of life,I will be able to fly freely I will be able to move accross medium and that kinds of drives me high.Otherwise I am just a normal guy dealing with normal challenges.No stress involved just curiosityHiz muv za ufilipino znaharibu sana vijana tatizo hawataki kazi wanafikiri maisha ni mteremko. Kesho utaskia mwanajf mwenzetu katuacha...wanataka michango..pambafff
Sent using Jamii Forums mobile app
Inategemea maisha yako yakoje na uhisiano wako na Mungu Mwenyezi upo vipi. Kama unaishi maisha mabaya kiroho, basi yawezekana kabisa kwamba hisia za kufa zinatoka kwa roho za mauti (roho za giza), na lengo lake ni kukudanganya ufikiri kwamba ukifa utakwenda peponi kumbe roho hizo zinajua kuwa ukifa katika hali yako mbaya utakuwa mateka wao. Omba kwa Yesu Kristo msaada wa kuondokana na roho ya mauti na pia rekebisha maisha yako yamwelekee Mungu.Kizzy Wizzy,
But what I feel is curiocity not despair na kiuhalisi mi sio mpambanaji zaidi I am a hobyst katika maisha. I go with the wind.Kuhusu kufanikiwa nafikiri ni swala ambalo natamani hata mimi liwe ndo sababu ya mimi kujihisi hivo but deep down I know I am far better.
Sifikiri kujiua kabisa ila natamani tu kufa ila painlessly then nione upande wa pili ukoje
Psychosis is a strong word.Suspectedly psychosis...nenda hospital ili upigwe maswali kibao kuthibitisha kama una shida ta akili kisha upewe madawa ya akili na usingizi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hili ni suala la kiimani zaidi naona.ila kwangu ni curiosity.It is not about hell or heaven.Kuhusu uhusiano na Muumba wangu...tuliache kwa sasaInategemea maisha yako yakoje na uhisiano wako na Mungu Mwenyezi upo vipi. Kama unaishi maisha mabaya kiroho, basi yawezekana kabisa kwamba hisia za kufa zinatoka kwa roho za mauti (roho za giza), na lengo lake ni kukudanganya ufikiri kwamba ukifa utakwenda peponi kumbe roho hizo zinajua kuwa ukifa katika hali yako mbaya utakuwa mateka wao. Omba kwa Yesu Kristo msaada wa kuondokana na roho ya mauti na pia rekebisha maisha yako yamwelekee Mungu.
Kweli mkuu tunapambanaKweli tumepishana..wengine tjnaomba tusife hata mama maisha magumu!
I used to watch and read but kwa kweli the way najisikia ni kama vile kuna kitu kiko upande wa pili nataka kwenda kukiona.
Hizi nyuzi za kutamani kufa mbona zimekuwa nyingi nowdays?
kuna moment nilikuwa natamani tu kufa yaani nakaa nawaza tu kifo,ghafla nikajikuta naogopa..yaani sasa hivi naogopa hata kukitaja hicho kifoKweli tumepishana..wengine tjnaomba tusife hata mama maisha magumu!
Realy?But I am very normal except that.
Kwahiyo hii inathibitisha kuwa ni kweli nchi yetu ni miongoni mwa nchi ambazo wananchi wake hawana furaha na maisha sio?Si kiselekale lenu hilo🤔
Duh,wakati wengine tuna ndoto ya kumiliki mademu mkali,majumba makubwa makubwa ya kifahari,magari ,pesa nyingiii...we unandoto ya kufa?kweli dunia uwanja wa fujo ila una matatizo ya akili,wahi hospitali..wakifeli unahitaji maombeziKwanza niseme tu kwamba sio kwamba kuna changamoto ninazopotitia ambazo zinanifanya nijisikie hali ya kutamani kufa ingawa ndio kuna changamoto katika maisha lakini hizi nimekuwa na deal nazo for more than 20 years of my life so I can still put up a fight
Tatizo nililo nalo ni tatizo la kutaka kufa ili nione kinachotokea baada ya kufa. Nakuwa na hamu tu ya kufa kiasi kwamba hata nikiumwa nakataa matibabu labda kama yananipa maumivu au kero ndio najikuta kwa sababu ya maumivu natafuta tiba.
Hii hali nimekuwa nayo kwa muda mrefu sana inakuja na kuondoka.Sijajua kama ni tatizo la akili ama ni nini ila nachojua ni kwamba hii hisia inaniathiri sana hasa katika mfumo wangu wa kufanya maamuzi na mtazamo wangu kuhusu maisha
Je, kuna anayeelewa hasa kiini cha hali hii? Kuna anae pitia hali hii?
Am I suicidal?
..haswaa....kama unavyoonaKwahiyo hii inathibitisha kuwa ni kweli nchi yetu ni miongoni mwa nchi ambazo wananchi wake hawana furaha na maisha sio?
Ninajichanganya na watu sana,Ninasoma vitabu sana,ninasafiri sana,Haya mawazo yakgo nyuma ya ubongo wangu just behind the normal thought.Nikiyawaza najsikia vizuri sana.I feel rejuvenated and excited.Sijawahi kufikiria kujiu but I kind of like the idea of dyingDuh!..hebu fanya kujichanganya na wstu uwezavyo ikiwezekana safiri kbs utoke hapo...punguza mitandao na hizo season ...andika vile unavyotamani maisha yako yawe soma kila mara! Utaweza kuheal!pole