This is raw truth about Israel which everybody needs to know

Kwa hiyo umejificha kwenye kichaka cha Born again Christian? Pambana sana lakini lazima utaangukia pua tu.



View: https://www.youtube.com/watch?v=pMECi3OLac0&t=5s&pp=ygUncmFiYmkgbWl6cmFjaGkgb24gY2hyaXN0aWFucyBhcmUgbW9yb25z
 
Hapo ndipo unapoonyesha wewe ni Born Again Christian wa MICHONGO. wewe ni muumini wa mihadhara ya kijinga Sinagogi la shetani unalijua? Acha kudanganya watu!!!
Niambie wewe sinagogi la Shetani ni kipi.Mimi ninalolijua ni like Bwana Yesu analozungumzia Ufunuo 2:9 na 3:9.
 

Watoto wanafunga shule baada ya mwezi, installment ya pili ya school fee ya 2.5m inatakiwa, hemu concentrate kwenye vitu productive Mr.Kobaz!
 
Niambie wewe sinagogi la Shetani ni kipi.Mimi ninalolijua ni like Bwana Yesu analozungumzia Ufunuo 2:9 na 3:9.
Sasa kama hulijui na unasubili mimi nikuambie huoni kuwa wewe ni mtu hatari kwa upotoshaji!!!
 
Hata Mimi naweza kutengeneza video na kuiweka youtube na wajinga kama wewe wakaitumia kama reference kutia upumbavu watu!!
Kitu gani kinakushinda kuiweka hiyo video yako uliyotengeneza ?
Msumali umekugonga ndipo
 

View: https://x.com/Neccccy/status/1892972525732200542
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…