Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Dah!
Mpaka naona kizunguzungu.
Tengua teua hizi nyie mnaziona ni jambo la kawaida tu kuongoza nchi?
Pia soma: Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Ni mimi tu ninayeona zimezidi mno?
Au ni ujinga na upumbavu wangu ndo unanifanya nione hivyo?
Chaos? Normal? Stability?
Anywho, labda ni ukilaza wangu tu ndo unanifanya nisielewe hayo mambo ‘makubwa’.
Mpaka naona kizunguzungu.
Tengua teua hizi nyie mnaziona ni jambo la kawaida tu kuongoza nchi?
Pia soma: Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Ni mimi tu ninayeona zimezidi mno?
Au ni ujinga na upumbavu wangu ndo unanifanya nione hivyo?
Chaos? Normal? Stability?
Anywho, labda ni ukilaza wangu tu ndo unanifanya nisielewe hayo mambo ‘makubwa’.