Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Na ujinga unaanzia huku kwenye kubebana.SAMIA YUPO SAHIHI.hawa vijana hawabebeki.
Matumizi mabaya ya madaraka pamoja na gharama kubwa kwa walipa kodiDah!
Mpaka naona kizunguzungu.
Tengua teua hizi nyie mnaziona ni jambo la kawaida tu kuongoza nchi?
Ni mimi tu ninayeona zimezidi mno?
Au ni ujinga na upumbavu wangu ndo unanifanya nione hivyo?
Chaos? Normal? Stability?
Anywho, labda ni ukilaza watu tu ndo unanifanya nisielewe hayo mambo ‘makubwa’.
Muhimu asijisahau akajitumbua.Ni mimi tu ninayeona zimezidi mno?
Kabisa.apige chini aanze upya asiwe mtumwa wa wateule wakeNa ujinga unaanzia huku kwenye kubebana.
Tunahitai kuwa na rais pale ikulu badala ya kuwa na mswahili na Uswahili mwingiDah!
Mpaka naona kizunguzungu.
Tengua teua hizi nyie mnaziona ni jambo la kawaida tu kuongoza nchi?
Ni mimi tu ninayeona zimezidi mno?
Au ni ujinga na upumbavu wangu ndo unanifanya nione hivyo?
Chaos? Normal? Stability?
Anywho, labda ni ukilaza watu tu ndo unanifanya nisielewe hayo mambo ‘makubwa’.
Sawa.Tuliamini vijana wakishasoma ndio wataleta mabadiliko katika nchi..
basi tukawekeza sana kwao, tukawasomesha
mwisho wa siku wamekua waizi wakubwa na maadui wa maendeleo katika kila sekta ya maendeleo.
Acha watenguliwe
Kwanini aliwabeba?SAMIA YUPO SAHIHI.hawa vijana hawabebeki.
YeahKabisa.apige chini aanze upya asiwe mtumwa wa wateule wake