MWANANCHI: CHADEMA YAMSHTAKI JK KWA WANANCHI
TANZANIA DAIMA: MKE WA Dr. SLAA AFUNGWA ''KUFULI''
TAZAMA: SLAA ADAIWA BILIONI MOJA
RAIA MWEMA: UNYUMBA WA DK SLAA WALIPUA SIRI NZITO
JAMBOLEO: DK SLAA ALIA KUPAKWA TOPE
UHURU KONGWE LA CCM: DK SLAA KORTINI KWA KUPORA MKE
NIPASHE: CHADEMA,HATUTAKI SIASA ZA MAJI TAKA
MAJIRA: CHADEMA YACHARUKA SAKATA LA DK SLAA
JAMANI HAWA CCM WAMEYANUNUA MAGAZETI YOTE .....HII INAONESHA DK SLAA NI TISHIO SANA KWA JK NA CCM YAKE...AU WE WAONAJE?????????????
kama vp dawa ya moto ni moto tu.
Kwanini na chadema na wao wasilipue mabomu kuhusu maisha ya jk kwani 'mambo yake' mengi yanajulikana.
oyeeeeeeeeeeeeeeNgoja wampandishe Chat Dr Slaa kwa kumzungumzia sana...hata wale wasiomjua watamjua tu na mwishowe hao wasiomjua wataanza kujiuliza hivi kweli ni kweli hayo yanayozungumziwa juu ya Dr slaa au la.. mbona anaonewa sana... kwa kumzungumzia sana ... watu watampa Kura za Huruma na kuanza kumpigia kampeni za chini kwa chini... hii yote ni mipango ambayo ina positive effects kwa Dr Slaa na kama ccm wanataka kujichimbia kaburi na vyombo vyao vya habari hebu waache waendelee kwani hawajui nature ya binadamu mara nyingi ni kumuhurumia yule aneyeonewa...