This is too much

ah ah ah ah ah... u make ma day...!
 
ah ah ah ah ah... u make ma day...!

Si umesikia jamaa chogo anavyobonga kizungu ,mwanzo nilikuwa sifahamu anasema nini ,nimeirudia na kuirudia na kuanza kuokoteza nafikiri ni jamaa wa Tanganyika na sio wa Kenya. Ila lile jina lake sijui linapatikana wapi hapa Tanzania.
 
That is sooo ugandan if not luhya, banange!!!!
 
That is sooo ugandan if not luhya, banange!!!!
Ha ha ha unamkingia kifua jamaa yako ? Maana kizungu anachokizungumza sio cha pwani ni hapo katikati ya Tanzania na mipakani huko ,ni jamaa wa kibongo hata lile jina ni la kimasai. Au hapo unyamwezini 😀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…