This is what happens when Kenyans attempt to emulate Bongo fleva

Vipi dogo, nilidhani uko bizi ukimfuatilia EL.
 
wenzao wameandamana huko Kenya kupinga mziki wao kutochezwa radioni! Haki ningekuwa radio presenter ningewapa ukweli wengi wao hawako talented watafute shughuli nyingine maana radio hucheza ngoma zinazobamba! :majani7:
 
Vipi dogo, nilidhani uko bizi ukimfuatilia EL.
leo ni "furahi day",so napoza kichwa yangu kwa kutazama music videos youtube.ratiba yangu ya kupiga siasa hapa JF inaanza monday na kuishia thursday.ume watch lakini hiyo ngoma ya wahu?,ni babkubwa.
 
wenzao wameandamana huko Kenya kupinga mziki wao kutochezwa radioni! Haki ningekuwa radio presenter ningewapa ukweli wengi wao hawako talented watafute shughuli nyingine maana radio hucheza ngoma zinazobamba! :majani7:
hahahha kuimba si kazi rahisi mkuu.naona sasa wameanza kuiga uimbaji wa wasanii wa tz.hakika kwa mbinu hii bila shaka wanaweza kuwashawishi ma-radio presenter wacheze ngoma zao kwa radio.sisi tulisha vuka huko.
 
hahahha kuimba si kazi rahisi mkuu.naona sasa wameanza kuiga uimbaji wa wasanii wa tz.hakika kwa mbinu hii bila shaka wanaweza kuwashawishi ma-radio presenter wacheze ngoma zao kwa radio.sisi tulisha vuka huko.

Wamejitahidi sana, ni kweli wanawaiga wasanii wa kibogo lakini hakuna ubaya wowote.
 
EAC tunaelekea pazuri saana; hasa ushirikiano kati ya wasanii na wasanii na mashabiki na mashabiki.

Kama redio za Kenya hazichezi wa Kenya zinacheza mziki wa wapi sasa?
 
Kwa mziki na Tanzania hapo nawapa kila kitu mume master the art of swahili sasa mkiimba mna tunga vyema hapa Kenya tuna funzwa swahili English Chinese German ufaransa sasa tuna pata tunajua kila lugha but hatuja shika kamilifu utumiaji..... Kama this new song ya band flani TZ ama ile ya joh makini ziko form....... Mziki wa TZ uko poa.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…