This is Yanga Brother...............

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001


Najiuliza hii ni Young Africans au "Yanga Afilika"?! Na leo mkifungwa au droo tunawafukuza Dar es Salaam
 
View attachment 681016

Najiuliza hii ni Young Africans au "Yanga Afilika"?! Na leo mkifungwa au droo tunawafukuza Dar es Salaam

Ligi kuu ya Vodacom yenye timu 16 msimu huu kuna mechi 30 mpaka ligi iishe....zimechezwa mechi 13 na bado mechi 17 kwa maana bado pointi 51 zinazopiganiwa..Simba inayoongoza ina pointi 29 na Yanga ambayo ni ya tano ina pointi 22...kumbuka bado mechi 17 kuchezwa....tafakari
 
Unatwanga maji kwenye kinu Mkuu. Siku wakiongoza ligi inakuwa shida mjini. Tumewazoea na kelele zao.
 
Unatwanga maji kwenye kinu Mkuu. Siku wakiongoza ligi inakuwa shida mjini. Tumewazoea na kelele zao.
Umechek soka la leo la Yanga. Masikini........nimemsikia Nsajigwa anatia huruma anasema kiukweli timu imecheza fyongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…