This Kenyan street kid anaongea Kiingereza kizuri kuliko Magu na watanzania wote

Usiombe ukakutana na nunda kama huyu Jay456watt ambaye exposure yake imeishia Nairobi na Mombasa.
Hapo ndipo utakapojua kumbe chang'aa siyo chai.
 
this young boy could have been some one potential in future,,,he is very inteligent indeed only his family background let him down and know one to help!!
 
Huyu jamaa sijui huwa ana landa landa kwa Forums za Bongo kutafuta nini!!? yani Brain yake imejaa funza Na Mawazo mgando too much, Yumo humu ku improve Kiswahili, Hajui English well even swahili too, He's speaking Sheng i don't know wat the hell is this, Ni wa kupuuza tu
 
watz wengi wakionaga hotdog kenye menu ya hotelini wanaanzaga kuwaza[emoji3] [emoji90]
 
Kiingereza sio maendeleo, kama kiingeraza kingekuwa maendeleo basi msingeenda kuomba misaada kwa wachina ambao hawajui hata herufi moja ya kiingereza. fikiria mara mbili kabla ya kuandika
 
Sisi ni waswahili hicho kingereza ni lugha ya kigeni ila nyie majitu ya Kenya Kiswahili hamjui wala kingereza hamjui
 
Tusimame kwa korti Mm na ww tuongee Kiswahili uone ninavyokugeuzia kesi hata kma ww ndio mwenye haki
 


Ujinga wa Kenynas ni huu....yaani mpaka leo Kenyans take pride kuongea broken English wakati lugha si yao. Ongeeni hata kiluo, luhya, au kikuyu ila sio English, mnawapa British people pride wasiyo stahili.
 
Huyu dogo ni Mzimbabwe siyo Mkenya


Inabidi uwaelewe Kenyans, wana this kind of inferiority ndiyo maana hawapendani among them. Nafikiri mleta mada kwa akili yake aliona ni ujiko mtoto wa mtaani (chokoraa) kuongea kiingereza thinking kwamba yuko karibu na mzungu kushinda Mkenya mwenzake. Sasa tujiulize, ndiyo huyo mtoto anaongea English safi, inamsaidia nini katika maisha yake ya mtaani? English is a language just like Luo or Luhya, what's the big deal here? Wakenya bwana!
 
Wewe mleta mada usiwe mjinga , mtumwa, wala mpumbavu sie Watanzania tunatumia Lugha ya Kiswahili ,hii ni lugha mama yenye kuonyesha Uzalendo na uasili wa Kiafrika! Unaposema Ki-i-nge-re-za unamaanisha unazungumza lugha ya Watu, lugha ya Bara na Taifa lingine lisilo la Afrika!
 


Mtoa mada un@fi®w@.. Mkvndx wee, don't take Tz lighlty tutakufumua mav wee.. Nyoko kabisa, usituzoee, shika adabu ya mama yako, kama Kenya hukufunzwa adabu, huku Tz tutakufunza na utakojoa sasa hv
 
Raisi wa umoja wa ulaya,kingereza kinampa shida,sasa wewe mburula jeusi unajivunia kingereza,wakati hata Swahili hujui,uko ulaya,kingereza sio deal sana,ni lugha tu,
Yaani ukuloni ni noma,ulimuathiri babu yako,mpaka wewe saikolojia yako imekaa tenge,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…