This MP predicted that the ferry was to sink due to its conditions...but the government opted to buy 2 planes instead.

...His grievances landed on deaf ears.
And that very same MP spoke a while ago;

Mbunge wa ukerewe ndugu Joseph Mkundi amesema kuwa Kivuko hicho kilifanyiwa ukarabati miezi miwili iliyopita, hivyo kilikuwa sawa na kilikuwa mbioni kubadilishiwa ratiba ikiwemo kuongeza idadi ya safari ili kukidhi mahitaji ya wananchi wa eneo hilo.
Aidha, amesema kuwa yeye mwenyewe ni miongoni wa watu waliopoteza ndugu katika ajali hiyo ambapo amedai kuwa takribani ndugu zake watatu wamefariki kwenye ajali hiyo.
 
People in ferry were in high danger, instead of making continues rescue those responsible to do so, they opted to stop the operation due to darkness. Really?
 
Acha ujinga, what Magifuli has to do with anything. Can we blame Kenyatta on Westgate mall?
Magufuli ignored that Mp...Uhuru too was to blame for westgate coz he was warned but never took action...
 
aisee! Mola aweke roho zao mahali pema...nimepata habari CNN BBC al jazeera na kadhalika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…