Renegade JF-Expert Member Joined Mar 18, 2009 Posts 7,221 Reaction score 6,940 Mar 22, 2010 #2 Injinia said: Click to expand... Mkuu Polehii ndo Tanzania, Majuzi nilikutana na askari mstaafu nilisikitika sana, Jinsi alivyochoka, nikakukmbuka zile enzi ............, inatia Huruma . Kumbe nchi hii kustaafu kunatisha sana. Uzee noma mwanangu. unachoka kweli.
Injinia said: Click to expand... Mkuu Polehii ndo Tanzania, Majuzi nilikutana na askari mstaafu nilisikitika sana, Jinsi alivyochoka, nikakukmbuka zile enzi ............, inatia Huruma . Kumbe nchi hii kustaafu kunatisha sana. Uzee noma mwanangu. unachoka kweli.
gwambala Member Joined Mar 10, 2010 Posts 60 Reaction score 2 Mar 22, 2010 #3 duh kustaaaafu ni ishu nzito kwa wa tz we si unaona wengine wanaongea peke yao mabarabarani