This shall and can't happen in Kenya, or any other African country

This shall and can't happen in Kenya, or any other African country

Nawaona wanachungulia tu ila hawata comment humu cz wanafikiria 2022 jinc watakavyotoana roho[emoji3][emoji3][emoji3]
 
tz ni nchi ya kila mfano wa jambo jema duniani.

ukikaa na wageni hawasiti kukwambia tz bana ina binaadamu wa ajabu sana.

kuna dada mkenya alikuja kwa jirani yangu anasema anashangaa bongo mtu anaamka kwenda kusalimia tu kwa jirani yake[emoji38][emoji38],wakati wao kule wako wanakimbizana na muda,sijui ni kwenda wapi sasa!!!!
 
tz ni nchi ya kila mfano wa jambo jema duniani.

ukikaa na wageni hawasiti kukwambia tz bana ina binaadamu wa ajabu sana.

kuna dada mkenya alikuja kwa jirani yangu anasema anashangaa bongo mtu anaamka kwenda kusalikia tu kwa jirani yake[emoji38][emoji38],wakati wao kule wako wanakimbizana na muda,sijui ni kwenda wapi sasa!!!!
Subiri matusi na hasira za wakenya zitakavyokushukia kama mvua [emoji23][emoji23]
 
tz ni nchi ya kila mfano wa jambo jema duniani.

ukikaa na wageni hawasiti kukwambia tz bana ina binaadamu wa ajabu sana.

kuna dada mkenya alikuja kwa jirani yangu anasema anashangaa bongo mtu anaamka kwenda kusalimia tu kwa jirani yake[emoji38][emoji38],wakati wao kule wako wanakimbizana na muda,sijui ni kwenda wapi sasa!!!!
i) Mko na mda ya kusalimia jirani kwa sababy hamna kazi za maana, kazi zenu ni kuvuta mikokoteni ya machungwa na nyanya zikipakiwa kwa malori ziletwe kenya, huku mkenya akiwa amewasimamia.
ii) Mumetushinda kwa uchawi na ushirikina tu!!
 
i) Mko na mda ya kusalimia jirani kwa sababy hamna kazi za maana, kazi zenu ni kuvuta mikokoteni ya machungwa na nyanya zikipakiwa kwa malori ziletwe kenya, huku mkenya akiwa amewasimamia.
ii) Mumetushinda kwa uchawi na ushirikina tu!!
Sema hakia nani Mkenya?
 
i) Mko na mda ya kusalimia jirani kwa sababy hamna kazi za maana, kazi zenu ni kuvuta mikokoteni ya machungwa na nyanya zikipakiwa kwa malori ziletwe kenya, huku mkenya akiwa amewasimamia.
ii) Mumetushinda kwa uchawi na ushirikina tu!!

Why such bitterness!!!?
😛 😛 😛
 
i) Mko na mda ya kusalimia jirani kwa sababy hamna kazi za maana, kazi zenu ni kuvuta mikokoteni ya machungwa na nyanya zikipakiwa kwa malori ziletwe kenya, huku mkenya akiwa amewasimamia.
ii) Mumetushinda kwa uchawi na ushirikina tu!!

au sio buda[emoji1][emoji1][emoji1].

sasa mnakomaa na kazi na bado njaa iko nanyinyi mpaka mwisho wa nyakati[emoji23][emoji23].
 
Back
Top Bottom