Uko sehemu gani mkuu wiki mbili zijazo nitakuwa hapo singida mjiniNi la kwangu kiasi kidogo ila sehemu kubwa nakodisha
Ikiwa umejipanga vyema hapo,utanufaika na kilimo.Sawa mkuu mm naamini Mungu yupo na naamini atalinda shamba langu.
Wachawi watakaokuja kuloga nawakaribisha sana. Watakaologa mvua isije nao waje tu. Mungu ni mkubwa kuliko sisi wote.
Mkuu ushawahi kulima?Ikiwa umejipanga vyema hapo,utanufaika na kilimo.
Uko sehemu gani mkuu wiki mbili zijazo nitakuwa hapo singida mjini
Nashukuru sana mkuu. Nimekucheki PM tutazidi kuwasiliana.Dodoma maeneo ya Kibaigwa unaingia ndani vijijini huko mwendo wa saa moja hv kwa bodaboda.Nililima sehemu i naitwa Maliti.
-Kama unataka kuunganishwa kwenye group la Wadau wa Alizeti Hysun33 kwa kujifunza zaidi pamoja na kupata ushauri mzuri wa wataalamu drop your number nimwambie admin akuunge
poa nitakuchekKwa sasa nipi dodoma ila nitaenda singida soon ila sitakaa sana. Ukifika tuchekiane kama bado nipo huko.
Naomba ushauri wa Kijana usiuchukulie mzaha, Mungu anasaidia ila katika mambo haya ......Sawa mkuu mm naamini Mungu yupo na naamini atalinda shamba langu.
Wachawi watakaokuja kuloga nawakaribisha sana. Watakaologa mvua isije nao waje tu. Mungu ni mkubwa kuliko sisi wote.
Nimelima msimu huu Dodoma ekari 50 ila mvua zilikata mapema sana mambo hayakuenda vzr.Nikajaribu tena maeneo ya Msata mvua zilipoanza kama ekari 10 matokeo yake yakaenda vzr.Gharama nilizotumia kule Dom zimerudi japo bado sijakamua.
-Soko ni uhakika 100% na bei ni nzuri pia ukitaka kuuza kama mbegu.Kuna watu wa viwandani wanatafuta sana kununua zao la Hysun toka kwa wakulima wakakamue wenyewe coz Oil content inayopatikana hapo ni kubwa kulinganisha na mbegu za asili.
- Ushauri :
1.Palizi ya mapema ni muhimu sana kupata matokeo mazuri mwishoni.Ukizembea hapa utavuna kidogo
2.Kwa ekari 40 hiyo cost yako ya 5M bado ipo chini
Mkuu add number hii mimi niko dodoma njia ya kwenda kiteto +971555088703 nalima maeneo hayoDodoma maeneo ya Kibaigwa unaingia ndani vijijini huko mwendo wa saa moja hv kwa bodaboda.Nililima sehemu i naitwa Maliti.
-Kama unataka kuunganishwa kwenye group la Wadau wa Alizeti Hysun33 kwa kujifunza zaidi pamoja na kupata ushauri mzuri wa wataalamu drop your number nimwambie admin akuunge
Nina mbegu ya Hysun 33 nilinunua ya kutosha imebaki .Ukihitaji nicheki PM nakupa kwa bei ya chini
Vp Kwa msata ulipata mavuno kiasi gabNimelima msimu huu Dodoma ekari 50 ila mvua zilikata mapema sana mambo hayakuenda vzr.Nikajaribu tena maeneo ya Msata mvua zilipoanza kama ekari 10 matokeo yake yakaenda vzr.Gharama nilizotumia kule Dom zimerudi japo bado sijakamua.
-Soko ni uhakika 100% na bei ni nzuri pia ukitaka kuuza kama mbegu.Kuna watu wa viwandani wanatafuta sana kununua zao la Hysun toka kwa wakulima wakakamue wenyewe coz Oil content inayopatikana hapo ni kubwa kulinganisha na mbegu za asili.
- Ushauri :
1.Palizi ya mapema ni muhimu sana kupata matokeo mazuri mwishoni.Ukizembea hapa utavuna kidogo
2.Kwa ekari 40 hiyo cost yako ya 5M bado ipo chini
Upo singida sehem gan?Nina mbegu ya Hysun 33 nilinunua ya kutosha imebaki .Ukihitaji nicheki PM nakupa kwa bei ya chini
Fafanua zaidi kwa manufaa ya wanajfNashauri ungelima angalao sh hk 20 sbb alizeti hazina uhakika wa kupata kipato kama vile unavyofikiri. Nina uzoefu kidogo na hilo Zao ndugu yang.