This will be my biggest risk! Kilimo cha alizeti Singida

Sasa ingia nyanjani ujionee!
 
Hizi certified mbegu xinapatikana wapi hasaa?
Kuna ma agents wa makampun flan huwa wanapitisha vijijini ikifika msimu wa uhitaji.
Suala la upatikanaj mbegu obvious halisumbuag..... Ishu n kufanya timing ya wingu, mana alizet hasa mbegu za kisasa hazitak mvua nyingi,. So n kucheza na kalenda.
 
Kama group la Whatapp lipo tafadhali niunge 0757073311 Amini
 
Nina subscribe uzi kwa sababu msimu ujao nitalima eka 50 za alizeti huko Manyoni. Sasa mkuu njoo utupe feedback, changamoto na mafanikio
 
Nataka kulima eka 7 za alizeti iringa...nipe link ya hilo group
 
Nina subscribe uzi kwa sababu msimu ujao nitalima eka 50 za alizeti huko Manyoni. Sasa mkuu njoo utupe feedback, changamoto na mafanikio
Manyoni hautatoboa mkuu.
Kuna maeneo ambayo ukilima ni umelima....
Ardhi ya pale haitunzi unyevu, so n very risk. Pia sio productive kiviiiile,. Nenda sehemu hzi; mwahu, kisisi, gawidu, ghalanyangu, dajamida. Huko utakuja kunishukuru.
 
Nimefyeka eneo la ekari 60 Chunya kwa ajili ya kilimo hiki. Nami ni mdau, tushirikiane hasa kwa taarifa tafadhali. Kama kuna group la wadau wa Alizeti naomba mniunge 0679188106
 
Hayo maeneo yapo wapi mkuu
Ni Singida kaskazini. Ukifika Singida mjini, nenda msufini, tafta gari za Ngamu (Obvious huwa n noah). Nadhan nauli n 4000 kama haijabadlika. Huko utakuwa in between hayo maeneo, so n rahisi zaid kupata mbili tatu kwa hicho unachokifikiria.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…