This world is not fair at all! Hivi hii dunia ukiwa hard-working unakufa njaa?

This world is not fair at all! Hivi hii dunia ukiwa hard-working unakufa njaa?

Ikitotanzila

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2020
Posts
1,409
Reaction score
2,263
The people who are lazy by nature ndo wanaenjoy cake ya taifa na kula maisha maisha mazuri.

Hebu imagine waliosoma arts ndo wanakula Bata walioeoma sayansi wanaugulia umaskini.

Mfano Dkt. Tulia Ackson kasoma arts, Tundu Lissu kasoma Arts, Kabudi kasoma Arts, Mwigulu Nchemba kasoma Arts, Ndugai kasoma Arts, Kassim Majaliwa kasoma Arts, Rais Samia kasoma Arts, Prof Juma, Jaji Mkuu kasoma Arts, Kibatala kasoma arts. Yaani walioeoma ngwini au msuli bed ndo wanaenjoy maisha

Angalia watu wenye akili waliosoma sayansi kama akina Muhongo, Mwandosya, Meakyuea nk life yao ikoje.

Hivi hii dunia ukiwa hard-working unakufaga njaa?
 
Hii Dunia tangu iumbwe haijawai kua fair, maana hata muumbaji mwenyewe hakuiumba fair.

Mbona Kama umechelewa sana kujua hilo[emoji848]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unasema Ni mpumbavu kwa vile huna akili umesoma arts hujui chochote.
Mbona kama wewe ndio hauna akili? Tafuta pesa wewe mambo ya kusoma sijui sayansi na arts ni extra ukiwa na mapesa. Watu wanasoma wapate exposure wasimamie biashara zao kubwa wewe ngumbaru unakesha na mamisuli tembo ili uajiriwe serikalini? Jinga lao kweli
 
Waliosoma sayansi huwa sio wazuri sana kwenye uongozi wa siasa. Ni wachache sana waliosoma Sayansi wanaoweza kuwa viongozi wazuri kwenye upande wa siasa.
 
Sayansi yenyewe tz ni art pia maana ni full kumeza ma kanuni ya walio bunk/vumbua wengine

Msaada wa sayansi tz uko wapi? Korona imetuchapa kinyama Hadi leo hakuna hata andiko la mwanasanyasi kafanya nini?

Ulaya wanao pata mafanikio ni waliosoma sayansi (ya kweli ) acha hii yetu ya kumeza (sayansi art) na biashara
 
Back
Top Bottom