Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila juhudi ya wachezaji na uongozi maombi hatasaidiaOfisa Habari wa Mtibwa Sugar, Thobias Kifaru amesema kwa sasa timu yao ina hali mbaya hivyo anawaomba Watanzania waongeze maombi ili waweze kubaki Ligi Kuu Bara msimu ujao.
Msikilize hapa...
Ila business model yao nzuri, hawana kauzibe.Wao walijifanya timu ya biashara yanga na simba wanawazohofisha wachekelea kama mabang'ang'a!