Thomas Tuchel tuambie Chelsea gani wapinzani watakayoigopa kucheza nayo?

Thomas Tuchel tuambie Chelsea gani wapinzani watakayoigopa kucheza nayo?

Darucha

Senior Member
Joined
Dec 28, 2020
Posts
111
Reaction score
211
Chelsea hii ya kuwaanzisha Reece James na Azipilicueta waanze pamoja (no creativity)? Chelsea hii ya kutuaminisha kuwa Timo Werner ni mchezaji mzuri wakati ligi inaonekana imemshinda? Chelsea hii ya wachezaji wanafanya makosa yaleyale?

Unaacha wachezaji ambao wanaweza wakaleta ubunifu wa Hali ya juu Kama Giroud na Zyech unaenda kutuchezesheya full-backs na viungo laini kama Jorginho na Timo Werner tunaenda nusu final kucheza na Madrid sijui Kama tutatoka hapa salama baadhi ya wachezaji viwango vimeshuka Kama Reece James.

Mpira pia wakubutuabutua kiufupi timu Haina mvuto kabisa.
 
Kwani alipisema ataifanya kua timu ya kuogopwa alisema ataifanya lini?
 
Ww unayejua mpira unafundisha timu gani labda tuambie au unachambua mpira kwenye kituo gani
Kaongea sana pumba jamaa TT tangu aje amefungwa mechi 1 kwenye ligi na mechi moja UEFA mimi ninae chek mechi za chelsea tangu msimu unahanza uyu kocha alipo tufikisha ni pazuri tupo nusu UEFA ligi tulipoteana ila tunapambana kuingia top 4 na FA tupo nusu na ata kimbinu tuna cheza soka safi ishu game ya jana atukuwa na sababu ya kucheza soka letu tulilo zoea wakati tume win a way ilikuwa ni kulinda ushindi twende nusu..
 
Muhimu timu imefuzu hatua ya nusu fainali. Hayo mengine tumuachie yeye mwenyewe mwenye mamlaka ya kuteua kikosi cha kwanza.
 
utopolo unakusumbua, chelsea hata kufika nusu fainali ni achievement kubwa sana, sawa na simba kufika robo final
 
utopolo unakusumbua, chelsea hata kufika nusu fainali ni achievement kubwa sana, sawa na simba kufika robo final
Usitu underrate bro!
Screenshot_2021-04-14-15-06-27.jpg
 
Kwa miezi mitatu ya TT kuifundisha Chelsea kawafunga makocha wote hodari na timu zao ngumu na hakufungwa hata goli moja na hao makocha
  1. Diego Simeoni mara 2
  2. Jose Morinho
  3. Carlos Ancelloti
  4. Jurgen Klopp
  5. Pep Guardiola
Katika mechi 19
  1. Cleansheet 14
  2. Kashinda mechi 13
  3. Droo 4
  4. kapoteza 2 tu
  5. Kaitoa Chelsea kutoka nafasi ya 9 ya ligi hadi ya 5 sasa na bado ataipeleka hadi ya 3
 
Chelsea hii ya kuwaanzisha Reece James na Azipilicueta waanze pamoja (no creativity)? Chelsea hii ya kutuaminisha kuwa Timo Werner ni mchezaji mzuri wakati ligi inaonekana imemshinda? Chelsea hii ya wachezaji wanafanya makosa yaleyale?

Unaacha wachezaji ambao wanaweza wakaleta ubunifu wa Hali ya juu Kama Giroud na Zyech unaenda kutuchezesheya full-backs na viungo laini kama Jorginho na Timo Werner tunaenda nusu final kucheza na Madrid sijui Kama tutatoka hapa salama baadhi ya wachezaji viwango vimeshuka Kama Reece James.

Mpira pia wakubutuabutua kiufupi timu Haina mvuto kabisa.
HOVYOOOOOO
 
Chelsea hii ya kuwaanzisha Reece James na Azipilicueta waanze pamoja (no creativity)? Chelsea hii ya kutuaminisha kuwa Timo Werner ni mchezaji mzuri wakati ligi inaonekana imemshinda? Chelsea hii ya wachezaji wanafanya makosa yaleyale?

Unaacha wachezaji ambao wanaweza wakaleta ubunifu wa Hali ya juu Kama Giroud na Zyech unaenda kutuchezesheya full-backs na viungo laini kama Jorginho na Timo Werner tunaenda nusu final kucheza na Madrid sijui Kama tutatoka hapa salama baadhi ya wachezaji viwango vimeshuka Kama Reece James.

Mpira pia wakubutuabutua kiufupi timu Haina mvuto kabisa.
Una majibu muda huu?
 
Back
Top Bottom