Habari yote imekaa kufikilika tu, CCM haina lengo hilo na kamwe haitaweza kuwa na lengo kama hilo.
Hii haina maana kama hakuna baadhi ya Wanachama wake wenye mawazo kama hayo ya kutetea ufisadi at any cost, but at the end of day wataumbuka tu.
(font hizo kaka)