Thread kwa wasomi wa JamiiForums acheni dharau

Thread kwa wasomi wa JamiiForums acheni dharau

Hemedy Jr Junior

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2023
Posts
915
Reaction score
1,082
Ubora wa elimu yako ni kile ulichosoma na kukielewa mwisho kukitendea kazi.
we umesoma afu uko unadhurura na vyeti maofisi ya watu miaka nenda miaka rudi leo hii mnamtusi kijana aliyeishia darasa la saba 🤔

Mtu kuishia darasa la saba/form 4 sio kwamba akuwa vizuri kiuelewa hapa zipo changamoto zinazofanya watu wasiendelee na shule, ila huyo huyo unayemchukulia poa ukicheki ndo aliyekupa ajira leo hii bado unaropoka upuuzi.


Asilimia kubwa ya wazazi wetu wote la saba/ darasa la 4 sasa wew umepata degree unajikuta mwamba kumbe zero. Umesoma afu bado umeajiliwa umesoma nini sasa.... upo bize mitandao huna hata mia mfukoni kutwa kupiga viziga wazazi wako na kaka zako darasa la saba. Fanya kazi huwezi kula vyeti vyako.

Muache dharau wasomi... wamchongo....
Umesoma afu hakuna ulichokifanya sa umesoma nini . Na wapongeza Waliogundua mtandao huu hawa ndo wasomi wenye faida nyie wengine majungu tu.
 
Oya brother, mbona unaandika nyuzi nyingi sana kila muda? Unapiga campaign nini?
 
Kama elimu umeipata na hiyo elimu haijaongeza thamani kwenye maisha yako hiyo sio elimu bado. No uharibifu wa muda na rasilimali zingine
 
Jamii Forum wangeweka limit ya kuanzisha uzi kwa siku,
Mfano mtu mmoja awe anaanzisha nyuzi zisizozidi 3 kwa siku
 
Ukiona msomi anajisifia sana na ana kazi kubwa basi huyo mtilie Shaka katika wale majizi wanaoitafuna nchi yetu

Kweli leo hawa panya wa kuiba 3b na ushee za wakimbizi?

Yaani wanawaweka mbele za camera hata maji hawawapi halafu they treat them like criminals huku wakila michango ya hela UN

Hela zilizopigwa zote nchini ni hao so called wenye elimu ya juu

Usijali baba we pambana kihalali tu
 
afu ndio nini?? Kama ulishindwa kusoma jifunze hata kuandika mkuu
 
Acha dharau na wivu wa kipumbavu we ngumbaru , ngumbaru mbona mna wivu na chuki hivyo dhidi ya wasomi ? ,Cha ajabu wasomi hawana time ya kuwaonea wivu ninyi ngumbaru
 
Back
Top Bottom