huu mwaka wa 3 sasa banda umiza hawanioni. Nasikia tu wanalalamika gharama za dstv kupaa. 300mb unacheki game mwanzo mwisho na ku browse vitu vingine kdg.
Huwa natumia kwenye laptop. Inategemea na quality, kama quality ni HD (au ipo clear sana) hapo bundle lzm iishe faster.mbona mm mb zinakimbia sana? Natumia tecno s3. Tatizo wapi kuuu?
www.ifirstrow.euMkuu ilonga ww unatumia link gani
Iko kwenye other channels inaonyesha match ya epl ya saa 12 jioni mojawapo
wote nitafuteni kwa 0762660643jaman msaada mwenzenu app nzuri ya kuchekia mipira isiyo gandaganda.kwan leo tv yangu imeungua na kuna gemu za uefa.natanguliza shukran kwenu.achana na mobdro app
Haikudumu kivipi?Mimi nilijaribu kuangalia mechi kwenye simu yangu wala haikudumu
Mwelekeze hapa hapa mkuu tufaidike woteNi PM nikufundishe utaenjoy mwenyewe tena saivi nimetoka kuangalia game ya liva....kwakutumia samsung pocket