Thread maalumu kwa ajili ya ndoto: Share nasi umeota nini au ndoto uliyowahi kuota

Thread maalumu kwa ajili ya ndoto: Share nasi umeota nini au ndoto uliyowahi kuota

Twinawe

JF-Expert Member
Joined
Oct 3, 2016
Posts
2,431
Reaction score
5,336
Habari Ndugu nimeona si vibaya tukawa na thread ya ndoto tunazoota kila siku yaweza kutusaidia kutunza record ya ndoto na kupeana maana ya ndoto tunazoziota.

Binafsi usiku wa kuamkia juzi niliota nafanya mapenzi na boss wangu ambaye ni sista ilikua sura yake ila katika umbo la mpenzi wangu niliyeachana naye juzi kwa mbide vita Kali vitisho na laana kibao.

Usiku wa kuamkia Jana nimeota nacheza mpira na timu ya wanafunzi wangu dhidi ya chuo kingine nikacheza vizuri nikafanikiwa kufunga magoal matatu mpaka wale wapinzani wetu wakakimbia uwanja.

Badae nkasajiliwa Chelsea tukacheza na Barcelona nkafanikiwa kufunga goal moja la ushindi.
 
Ndoto hii sitakuja kuisahau

Niliota ndoto NIMELALA.(naomba nieleweke hapo)

Nilivokuwa nimelala(ndotoni) nikaota ndoto (naomba niendeelee kueleweka)

Kuwa nadumbukia kwenye shimo kibwaa...nikatua chini puuuuh!!

Nikajihisi nimekufa,.nikataka kuhakikisha nikajifikicha macho ili nione yatafunguka!!

dah hayafunguki


Jaribu tena ..hayafunguki

Nikaamua kujirestisha in bed

Itaendelea.....
 
Back
Top Bottom