shakur kimboka
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 275
- 364
mkuu yaelekea we mdau wa ndondi kweli kwel nafurah sana nikipata sapoti, kuna bingwa anaitwa Loma the matrix cheko hajapigana muda sasa em tupe ufafanuzi kidogo[emoji23][emoji23]Crawford kashinda kwa TKO 6th Round
Bondia ambaye naturally anapigana katika uzito wa lightweight, anapendwa sana kutokana na style yake ya upiganaji inayoburudisha, yuko vizuri technically na anarusha ngumi kwa speed, Team ya Mayweather 'TMT' wamekuwa wakimkwepa sana, maana alishaomba pambano maranyingi na kijana wao 'TANK' ila wamekuwa wakileta siasa, wanamlinda kijana wao asijepoteza pambano maana wanamjua vizuri Loma[emoji3][emoji3]. BTW, Loma kacheza pambano lake la mwisho April 12 mwakahuu na kushinda kwa KO Round ya 4 dhidi ya Anthony Crollamkuu yaelekea we mdau wa ndondi kweli kwel nafurah sana nikipata sapoti, kuna bingwa anaitwa Loma the matrix cheko hajapigana muda sasa em tupe ufafanuzi kidogo[emoji23][emoji23]
Kesho May 4 Kuna pambano la kukata na shoka la uzito wa kati litakalowakutanisha bondia mmexico anayesadikika kuwa ndio 'face' of boxing baada ya Mayweather kuretire na bondia mwingine mahiri Daniel Jacobs kutoka Marekani. Pambano hili linatabiriwa kuwa ni another big challenge kwa Canelo, kwani Jacobs ni bondia tough sana...View attachment 1086903
Pambano gumu lkn Jacobs atapigwaKesho May 4 Kuna pambano la kukata na shoka la uzito wa kati litakalowakutanisha bondia mmexico anayesadikika kuwa ndio 'face' of boxing baada ya Mayweather kuretire na bondia mwingine mahiri Daniel Jacobs kutoka Marekani. Pambano hili linatabiriwa kuwa ni another big challenge kwa Canelo, kwani Jacobs ni bondia tough sana...View attachment 1086903
Mkuu nimekutana na debate kali sana sehemu kuhusu AJ vs Wilder.... Kwa mtazamo wako nani anamkalisha mwenzake.Crawford kashinda kwa TKO 6th Round
Huo mjadala haupo tena tangia AJ alivyokalishwa na Mmexico Andy Ruiz. Baada ya lile pambano wadau wengi hawatamani tena kuliona hilo pambano maana ni wazi AJ atadharirishwa. Kabla ya kufikiria kupigana na Wilder, ashinde kwanza Rematch yake dhidi ya Ruiz, tena ashinde kwa KO ndio anaweza akarudisha imani kwa mashabikiMkuu nimekutana na debate kali sana sehemu kuhusu AJ vs Wilder.... Kwa mtazamo wako nani anamkalisha mwenzake.
Mimi pia huwa nafatilia MMA japo si sana, Nalisubiria pambano la Khabib kama ataendelea kuwa unbeaten ama nayeye ataanza kuchezea vichapo kama Mc Gregor. Kwa wanawake namkubali sana Amanda Nunes, yule demu hatari sana majuzi hapa kapiga KO kwa sekunde kadhaa.Tuwe tunapeana updates pia!Mkuu screpa kumbe unaujua huu mchezo tumebaki wachache sana wacha tuzidi kupeana updates za hapa na pale lakini mm pia ni mshabiki sana wa mma.
Na Still Unaupenda MchezoHabari inayotrend sasa kwenye Boxing inamuhusu Mrusi Maxim Dadashev aliyefariki baada ya kupata brain damage kwenye pambano lake lilofanyika ijumaa iliyopita. R.I.P brotherView attachment 1162625